Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
we jamaa bhana, wakati unaomba hiyo mwaka jana ulileta taarifa hapa?
Na sidhani kama angefanikiwa pia kuipata hiyo Fedha angekuja Kututaarifu hapa. Watanzania tuna Unafiki na Sanifu duniani.
we jamaa bhana, wakati unaomba hiyo mwaka jana ulileta taarifa hapa?
Mkuu kwa vipi?Na sidhani kama angefanikiwa pia kuipata hiyo Fedha angekuja Kututaarifu hapa. Watanzania tuna Unafiki na Sanifu duniani.
Acha ushamba wewe, utapigwa unajiona
mkuu fata maelekezo aliyekupa huyo mtuma email alafu ulete mrejesho hapa.
Download, print, fill then send it back...
Never download such documents. Wanaweza kuimaliza PC yako.Hello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for your use. Download, print, fill it then scan and send it back to me through this email as soon as possible.
Ni kweli kwamba mwaka jana niliomba lakini.. Asanteni..
Sent using Jamii Forums mobile app
walivyo andika inasound genuine; cha kufanya wewe jaza form kama walivyo elekeza ila ukiombwa utume hela yoyote ujue ni MATAPELI kwani huko kila kitu ni included (free of charge)Hello, hope this email finds you well,
The Government in association with USAID is giving out funds to entrepreneurs in order to improve their businesses during this time. First consideration goes to those that have ever applied for a grant before. For approval see the attachments below for your use. Download, print, fill it then scan and send it back to me through this email as soon as possible.
Ni kweli kwamba mwaka jana niliomba lakini.. Asanteni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu form wameniambia nijaze kwa INK color ndo ipi hii?walivyo andika inasound genuine; cha kufanya wewe jaza form kama walivyo elekeza ila ukiombwa utume hela yoyote ujue ni MATAPELI kwani huko kila kitu ni included (free of charge)
pia wakiweka namba za simu angalia kama ni za west Africa kwani huko ndiko matapeli waliko jaa zaidi pia email yao iwe ya office sio hizi ya gmail/yahoo/aol etc
elizabetwaniki2011@gmail.comkofia ya plastiki,
Kabla hatujaumiza kichwa, weka hapa email domain. Ninaposema email domain chukua mfano huu hapa chini:-
chige@jamiiforums.com
Kwa mfano huo hapo juu, jamiiforums.com ndiyo domain.
Hiyo ndiyo njia nyepesi zaidi ya kufahamu fraud, kwa sababu, USAID kwa mfano, hii ni taasisi ya serikali na kwahiyo domain yake inatarajiwa iishie na .gov; kwa mfano, chige@usaid.gov
Usawa huu wa kutumiana corona kuwa makini mkuu,kwa kawaida ukitaka kumnasa kuku unamuwekea mchele kama kivutio,kifuatacho .............
HahahaUsawa huu wa kutumiana corona kuwa makini mkuu,kwa kawaida ukitaka kumnasa kuku unamuwekea mchele kama kivutio,kifuatacho .............
ACHANA NAO... hiyo ni 100% Fraud!! Halafu hata kutapeli kwenyewe hawajui!! Unatapeli vp kwa kutumia public badala ya business email!!
Sawa sawa mkuuACHANA NAO... hiyo ni 100% Fraud!! Halafu hata kutapeli kwenyewe hawajui!! Unatapeli vp kwa kutumia public badala ya business email!!