Wakuu naomba tushirikishane MAFANIKIO na CHANGAMOTO tunazokumbana nazo kwenye UJASIRIAMALI

mwanawao

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
3,142
5,634
Wana JF katika ulimwengu huu wa kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo kwenye nchi yetu nina imani kuna mambo mengi ambayo tunaweza tukashirikishana katika forum hii ya BUSINESS & ECONOMIC na kutuhamasisha kufanya zaidi, na kuweka malengo makubwa zaidi ya yale tuliyokwisha kujipangia.

Katika kushirikishana mafanikio na changamoto mbalimbali tuzakumbana nazo kwenye ujasiriamali zitasaidia kuwainua tena wale ambao wamekata tamaa kuendelea na ndoto zao.

Naomba tushirikishane hapa mawazo, mafanikio, changamoto na mbinu mbalimbali za halali ambazo zinaweza kusaidia kutufanikisha zaidi kwa wale wote wenye mtazamo chanya wa ujasiriamali.

Thanks..
 
Wana JF katika ulimwengu huu wa kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo kwenye nchi yetu nina imani kuna mambo mengi ambayo tunaweza tukashirikishana katika forum hii ya BUSINESS & ECONOMIC na kutuhamasisha kufanya zaidi, na kuweka malengo makubwa zaidi ya yale tuliyokwisha kujipangia.

Katika kushirikishana mafanikio na changamoto mbalimbali tuzakumbana nazo kwenye ujasiriamali zitasaidia kuwainua tena wale ambao wamekata tamaa kuendelea na ndoto zao.

Naomba tushirikishane hapa mawazo, mafanikio, changamoto na mbinu mbalimbali za halali ambazo zinaweza kusaidia kutufanikisha zaidi kwa wale wote wenye mtazamo chanya wa ujasiriamali.

Thanks..

be specific.
unasema mafanikio katika ujasiriamali?? ...its a broad topic, in short mafanikio katika business among other factors ni ku make profit/return/faida. zingine chache ni kujikwamua kiuchumi, ku improve standard of living etc

changamoto pia ni nyingi na zinategemeana na aina ya biashara. mfano zawezwa kuwa katika aspect ya uendeshaji, usimamizi, wafanyakazi, ushindani, kodi na other expenses etc.

kuwa specific kungesaidia kuichambua business mojamoja.
my views
 
Wana JF katika ulimwengu huu wa kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo kwenye nchi yetu nina imani kuna mambo mengi ambayo tunaweza tukashirikishana katika forum hii ya BUSINESS & ECONOMIC na kutuhamasisha kufanya zaidi, na kuweka malengo makubwa zaidi ya yale tuliyokwisha kujipangia.

Katika kushirikishana mafanikio na changamoto mbalimbali tuzakumbana nazo kwenye ujasiriamali zitasaidia kuwainua tena wale ambao wamekata tamaa kuendelea na ndoto zao.

Naomba tushirikishane hapa mawazo, mafanikio, changamoto na mbinu mbalimbali za halali ambazo zinaweza kusaidia kutufanikisha zaidi kwa wale wote wenye mtazamo chanya wa ujasiriamali.

Thanks..
Ungesema unafanya biashara gani au eneo lipi la biashara unafanya ili tuweze kueleza au kulichambua, Changamoto au mafanikio yanapishana kutegemea na eneo au biashara! be specific for area or business?

Tutachangia tu.
 
Back
Top Bottom