Wakuu naomba msaada wa kurudisha email zangu mbili zimekua hacked tafadhali

blogspot

JF-Expert Member
Jan 7, 2017
1,268
1,138
habari wakuu poleni na majukumu ya kila kukicha tafadhali kwa atakayeweza kunisaidia ninauhtaji tafadhali
 
Zimekua hacked au umesahau password, angalia option ya kureset password unaweza fix tatzo lako
mkuu nimejaribu kwenye forget password lakini email recovery zimebadilishwa kwa email zote mbili
 
Mkuu hapo itakuwa ngumu kama tayari recovery options zimeshabadilishwa. Otherwise hauna njia ya kuwahakikishia google kwamba wewe ndio mmiliki halali wa account hizo
 
Mkuu hapo itakuwa ngumu kama tayari recovery options zimeshabadilishwa. Otherwise hauna njia ya kuwahakikishia google kwamba wewe ndio mmiliki halali wa account hizo
mkuu itabidi nijaribu kuwajulisha maana sina namna
 
Pole maana email ndio best archive lkn ubaya wk ndio km ivo, mm yng junk waliivamia adi leo nimeshindwa kuitumia
 
Hebu jaribu kama uliweka namba yako ya simu jaribu ku recovery kwa kutumia hiyo namba.
iyo option wameitoa wameeka zingne pamoja na email yao nadhan ni ya domain yao mkuu ' hivyo option ya recovery inanilazimu nitume code kwenye email yao apo ndo inapokua shidat mkuu
 
Back
Top Bottom