heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
1-Ni sahihi mtu mliyeshirikiana naye kwenye shughuli za kilimo kukushtaki kwa kosa la kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu baada ya project kutokuwa na matokeo mazuri?
2- Kwakuwa huyu mshirika alikuwa anatuma pesa tu je ni sahihi kunifungulia kesi ya jinai wakati anajua fika pesa ilikuwa inaenda kugharamia shughuli za shamba?
Msaada tafadhali wakuu
2- Kwakuwa huyu mshirika alikuwa anatuma pesa tu je ni sahihi kunifungulia kesi ya jinai wakati anajua fika pesa ilikuwa inaenda kugharamia shughuli za shamba?
Msaada tafadhali wakuu