Wakuu naomba kuongezewa uelewa kwa anayejua salary scales za serikali kuu, wanaposema TGS labda A, B, C nakuendelea kwenye tarakimu halisi ya fedha Tgs A ni shilingi ngapi? Na B unazidisha mara mbili ya hiyo A au inakuwaje!. Nahitaji kufafanuliwa thamani halisi ya hizo TGS A,B,C,D,E n.k