mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Wana JF siku za karibuni sukari imepanda bei sana katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Takwimu zinaonyesha sukari TANZANIA inauzwa kati ya Tsh 2,200/=($1.35)/ na Tsh 2,500/=($1.54) per 1-kg, KENYA Ksh 200 ($2.2) per 1-kg , UGANDA Ush 6,000/=($2.2)per 1-kg,na BURUNDI Fr 2,000/=($1.64)per 1-kg. Inashangaza kuona nchi zote za Afrika Mashari bei ya sukari ni ya juu sana. Wakuu naombeni kujuzwa ni kilichosababisha bei kupanda sana katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.