Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 901
- 885
Karibu wadau mnijuze.
Ya demu wake,kaifuma kwenye pochiWe umeitoa wapi? Maana kama ni yako ungekuwa na majibu
mkuu acha uongo hiyo ni ya kuchukulia dawaHapana hio sio kadi ya kuchukulia dawa, mana kadi ya kuchukulia dawa huwa ina mpaka aina ya dawa ya Mteja anayotumia
Ya kuchukulia dawa hiyo ukifungua ndani utaona tarehe ijayo kwenda kuchkua dawa imeandikwa au tarehe aliyochukua mara ya mwisho na kituo cha kuchukulia
Kuna demu wng nimemwambia tukapime akanitumia hio, nimesha wahi kupima mara kadhaa lkn nilipewa kadi ya kuridia baada ya mienzi 3 sio sita..We umeitoa wapi? Maana kama ni yako ungekuwa na majibu
Na hilo towel aliloweka kadi juu ni lakwake au dekio?Kuna demu wng nimemwambia tukapime akanitumia hio, nimesha wahi kupima mara kadhaa lkn nilipewa kadi ya kuridia baada ya mienzi 3 sio sita..
Kadi ya kurudi kupima...Karibu wadau mnijuze.View attachment 973555View attachment 973556
Kwa hiyo hujamuamini. Basi na wewe nenda ukapime kivyako tuje tulinganishe kadiKuna demu wng nimemwambia tukapime akanitumia hio, nimesha wahi kupima mara kadhaa lkn nilipewa kadi ya kuridia baada ya mienzi 3 sio sita..
Karibu wadau mnijuze.View attachment 973555View attachment 973556