Wakuu nahitaji msaada wenu wa mawazo

Albizo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
284
208
Habari za wakati huu wapendwa,

Nipo hapa kuomba msaada wa kimawazo.

Mwenza wangu anakaribia kujifungua na amebakiza almost wiki kama5 tu. Clinick tumekuwa tukiattend pale Agakhan hospital ila tulivoulizia gharama za kujifungua tumeambiwa zinaweza kufikia hadi millioni6 au 7 in case kama kuna emergency.

Bima ina uwezo wa kucover tzs 4.7M pekee. Sasa nataka nimuhamishe hapo akajifungulie hospitali nyingine ambayo haina gharama kubwa sana. Kwa experience yenu ninaomba msaada wa hospitali ipi nzuri kwa mama na mtoto na yenye gharama ambazo bima itacover. Bima ni ya Jubilee insurance.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
 
Uamuzi mzuri mkuu, nina ndugu (shangazi) alijifungulia hapo gharama jumla zilifikia 36mil na laki kadhaa. Na kulitokea emergency kama wanavosema.

Jaribu massana, tmj, rabininsia.
 
Nenda lugalo pale karibiana mwenge kuna hospital ya kina mama ni nafuu sana yaani hutoamini
 
Uamuzi mzuri mkuu, nina ndugu(shangazi) alijifungulia hapo gharama jumla zilifikia 36mil na laki kadhaa... Na kulitokea emergency kama wanavosema,,.
Jaribu massana, tmj, rabininsia...
Hivi watu maskini kama was tandale huwa wanajifunguaje?
Wakijifungua wanakufa wote?
Hizi pesa zote ni za nini na nini?
 
Hospital ukienda na kadi wanaweka bei za ajabu ajabu sana!! Aghakhani eti kumuona tu daktari na kukuuliza tu jino liianza kuuma lini ukimtajia tu ,anakuuliza limetoboka? ukimwambia ndio basi anakuandikia uje siku flani kuling'oa then hayo maswali mawili anakuchaji laki 1 kisa una kadi tu.....Hiyo laki ni fees ya kuonana na daktari tu wala haiinclude gharama za kung'oa.
 
Hivi watu maskini kama was tandale huwa wanajifunguaje?
Wakijifungua wanakufa wote?
Hizi pesa zote ni za nini na nini?
Mkuu kwani pesa watu wanatafuta ili wafanyie nini ??

Hayo ndio matumizi yenyewe. Pesa inapaswa kumtunza binadamu na siyo yeye kutunza hayo makaratasi.
 
Habari za wakati huu wapendwa,

Nipo hapa kuomba msaada wa kimawazo.

Mwenza wangu anakaribia kujifungua na amebakiza almost wiki kama5 tu. Clinick tumekuwa tukiattend pale Agakhan hospital ila tulivoulizia gharama za kujifungua tumeambiwa zinaweza kufikia hadi millioni6 au 7 in case kama kuna emergency.

Bima ina uwezo wa kucover tzs 4.7M pekee. Sasa nataka nimuhamishe hapo akajifungulie hospitali nyingine ambayo haina gharama kubwa sana. Kwa experience yenu ninaomba msaada wa hospitali ipi nzuri kwa mama na mtoto na yenye gharama ambazo bima itacover. Bima ni ya Jubilee insurance.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Hio hospitali ipo peponi?
 
Habari za wakati huu wapendwa,

Nipo hapa kuomba msaada wa kimawazo.

Mwenza wangu anakaribia kujifungua na amebakiza almost wiki kama5 tu. Clinick tumekuwa tukiattend pale Agakhan hospital ila tulivoulizia gharama za kujifungua tumeambiwa zinaweza kufikia hadi millioni6 au 7 in case kama kuna emergency.

Bima ina uwezo wa kucover tzs 4.7M pekee. Sasa nataka nimuhamishe hapo akajifungulie hospitali nyingine ambayo haina gharama kubwa sana. Kwa experience yenu ninaomba msaada wa hospitali ipi nzuri kwa mama na mtoto na yenye gharama ambazo bima itacover. Bima ni ya Jubilee insurance.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Nenda muhimbili hapo, mchukulie Private room. Atahudumiwa kama mfalme hadi utafurahia.
 
Back
Top Bottom