MariaMungu
Member
- Oct 14, 2020
- 40
- 35
Kama utangulizi unavyosema nahitaji watu wenye uwelewa juu ya biashara ya simu faida na hasara zake pia upatikanaji wake mtaji mimi nipo Mbeya mjini.
Tulia uelezee kwakirefu ili ueleweke.Kama utangulizi unavyosema nahitaji watu wenye uwelewa juu ya biashara ya simu faida na hasara zake pia upatikanaji wake mtaji mimi nipo Mbeya mjini.
Unataka kuuza kwa jumla au rejarejaKama utangulizi unavyosema nahitaji watu wenye uwelewa juu ya biashara ya simu faida na hasara zake pia upatikanaji wake mtaji mimi nipo Mbeya mjini.
Duuuh labda sijajua juu ya kujielezaTulia uelezee kwakirefu ili ueleweke.
RejarejaUnataka kuuza kwa jumla au rejareja
Wazo zuri ila umeniacha kidogoKama unahitaji biashara hii basi uza ambazo used, pembeni ukiwa na mobile phone repair shop utajilaumu ulikuwa wapi muda wote.
Capital ukianza millions 2 siyo mbaya.
Kwa hapo mjini wengi wanafanya hii biashara ila kama utaweza tafuta fremu maeneo ya Nzovwe iyunga mbaliz uyole hayo maeneo bado yana uhitaji wa hiyo biasharaRejareja
Asante kwa wazoKwa hapo mjini wengi wanafanya hii biashara ila kama utaweza tafuta fremu maeneo ya Nzovwe iyunga mbaliz uyole hayo maeneo bado yana uhitaji wa hiyo biashara
Si unesikia Tanzania aminaanza kuzalisha sumati foni?Kama utangulizi unavyosema nahitaji watu wenye uwelewa juu ya biashara ya simu faida na hasara zake pia upatikanaji wake mtaji mimi nipo Mbeya mjini.
Umesikia wap hapo!?Si unesikia Tanzania aminaanza kuzalisha sumati foni?
Kuna thread ilivuma sana hapa jamvini jana kwamba TZ wataanza kuzalisha sumati foni vere suniUmesikia wap hapo!?
Nashkr mkuuAsante kwa wazo