Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,686
- 8,922
Thread was deleted
Mkuu au unatumia VPN, mm hata hio haishikimbona sisi CCM tunapata internet wewe utakuwa mamluki
AiseeMkuu mbona inajichosha hivyo? Hukusikia hilo dubwasha lenu nilisema linatamani malaika ashuke aingie mitandao yote? Wacha lifunge wala hatuna shida!
Tena hatulipii kabisa ni bureeeeee kabisa ,tunamshukuru sana Jiwembona sisi CCM tunapata internet wewe utakuwa mamluki
Mkuu mbona inajichosha hivyo? Hukusikia hilo dubwasha lenu nilisema linatamani malaika ashuke aingie mitandao yote? Wacha lifunge wala hatuna shida!
hatari aisee 😅Kuna password anatoa Polepole..
We hujapata?
S. Kide Mtoto wa Mama Shamte ana msemo wake anapenda saana kuutumia kwenye nyimbo zake.Wakuu natumai wote ni wazima wa afya tele.
Moja kwa moja rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kwanza, mimi ni mfuasi mtiifu wa Jiwe, ila hili la kufungia mitandao (zaidi ya wiki sasa) najisikia vibaya.
VPN yenyewe kuipata na kuitumia shida.
Jamani kwa anaejua Mitandao itafunguliwa lini atujuze au ndio tuendelee kuisoma namba tukitembea (Kifua mbele)
Uzi tayari
Ccm Wote Internet Ipo SawaMbona sisi CCM tunapata internet wewe utakuwa mamluki
Hahaha mkuu kumbe hadi s kide unamfahamu?S. Kide Mtoto wa Mama Shamte ana msemo wake anapenda saana kuutumia kwenye nyimbo zake.
"Wataelewa tu".
Hivi tulivyokuwa tunapigia kelele serikali kubana uhuru mlikuwa hamuelewi kwamba itafikia huku siku moja?
🙄🤥Pole sana mfuasi mtiifu wa Jiwe.
We endelea kutembea kifua mbele hadi 2025 huku mtandao hamna!