Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,689
- 8,925
- Thread starter
- #21
Inategemea na kantri husikaHivi kupata ukimbizi bei gani?
Mfano Congo na Somalia ni buree
Inategemea na kantri husikaHivi kupata ukimbizi bei gani?
Unaweza kuingia mfan whatsap au Fb bila Vpn mkuu??Mbona network ipo au una maana gani?!!
Unaweza kuingia mfan whatsap au Fb bila Vpn mkuu??
Ko msiseme wamefunga semeni masharti yameongezeka ya kuaccess mitandao ya kijamii pendwa
We nawe, mbona umekosa uvumilivu?!Wakuu natumai wote ni wazima wa afya tele.
Moja kwa moja rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kwanza, mimi ni mfuasi mtiifu wa Jiwe, ila hili la kufungia mitandao (zaidi ya wiki sasa) najisikia vibaya.
VPN yenyewe kuipata na kuitumia shida.
Jamani kwa anaejua Mitandao itafunguliwa lini atujuze au ndio tuendelee kuisoma namba tukitembea (Kifua mbele) 🤔🤔
Uzi tayari 🏃🏽🏃🏽
Eti 'askofu Rasheed'We nawe, mbona umekosa uvumilivu?!
Si unakumbuka Askofu Rasheed Gwajima alituambia 5G inasababisha corona?! Basi kwa taarifa yako baada ya mabeberu kuona Afrika bado hawajapata 5G, wakafanya update ya corona na hivi sasa inasambazwa kwa 3G & 4G!
So, Rais wetu kipenzi kafanya makusudi ili kuzuia corona isienee kupitia 3G na 4G iliyo hadi mashambani!
SHUKURU MUNGU kwa kupata Rais anayetujali!