Yung_sammy
Member
- Sep 11, 2015
- 78
- 88
Nahitag kununua decoder aina ya canal + mwenye uzoefu na hii decoder kuanzia kwnye installation mpka kwenye matumizi na ulipaji wa vifurishi tafadhari msaada.
Kwan yeye akiangalia kwa lugha hiyo ww unateseka???kwanini ujitese kuangalia kifaransa au unakielewa mkuu?
Nahitag kununua decoder aina ya canal + mwenye uzoefu na hii decoder kuanzia kwnye installation mpka kwenye matumizi na ulipaji wa vifurishi tafadhari msaada
Nipo iringanakuchek pmNinacho mkuu sijui unapatikana mkoa gani? Tufanye biashara.
Chako no version ya kifaransa au kingerezaMi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
kwanini ujitese kuangalia kifaransa au unakielewa mkuu?
Nasikia vipo vya kingereza piakwanini ujitese kuangalia kifaransa au unakielewa mkuu?
Nasikia vipo vya lugha ya kingereza piaKwan yeye akiangalia kwa lugha hiyo ww unateseka???
Shukran sana mkuu kwa maelekezoMi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
Ulisikia wapi?Nasikia vipo vya lugha ya kingereza pia
Ipo HD..?Mi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
Ukichek official website yao wali ki launch 2019Ulisikia wapi?
Ipo HD..?
Mkuu naomba niunganishe na huyo Agent nataka kununu king'amuzi hichoMi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
Ninacho mkuu sijui unapatikana mkoa gani? Tufanye biashara.
Unahitaji kuwa na dish pia au kinafanya kazi bila dishMi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia