Ninayowakuu mwenye circuit ya Samsung note 5 aje tufanye biashara simu yangu imekufa circuit
Ushauri tu achana nayo kwanza nisimu ya zamani ji update hata na note 8 au 9 ingawa nazo zimepitwa na wakati..hazi receive updates...wakuu mwenye circuit ya Samsung note 5 aje tufanye biashara simu yangu imekufa circuit
kimfaacho mtu chakeUshauri tu achana nayo kwanza nisimu ya zamani ji update hata na note 8 au 9 ingawa nazo zimepitwa na wakati..hazi receive updates...
Acha huo uswahili wa kukarabati toyota stout kwa gharama wakati kuna hilux bei chee..