GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Namtafuta Dr Danny Njau popote alipo. Dr huyu alikuwa anahojiwa katika kipindi cha KUMEKUCHA ITV week iliyopita
Pia Dr huyu taarifa zake ziliandikwa katika gazeti la MTANZANIA la Jana.
Doctor huyu amegundua sawa ya figo na homa ya INI.
Yeyote anayejua jinsi ya kumpata please naomba anisaidie sana
Pia Dr huyu taarifa zake ziliandikwa katika gazeti la MTANZANIA la Jana.
Doctor huyu amegundua sawa ya figo na homa ya INI.
Yeyote anayejua jinsi ya kumpata please naomba anisaidie sana