Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu nawasabahi!!
Jana tu nimebahatika kujikongoja na kununua kasimu ka nokia N95 8GB kwa kweli bado kapya kabisa japo kanawezekana kakawa kakichina lakini kikubwa ni mawasiliano kwa sababu hakuna jinsi ya kukwepa dhahama ya wachina dunia inabidi tukubali tu.
Sasa nilikuwa nataka kuhamisha mapicha na mataarifa mengine kutoka kwenye kasimu kangu kazamani ili kaje huku kwenye hii ambayo ina 8GB lakini kila nikijaribu kuhamisha inaniambia kuwa Storage not Ready.
Wakuu nisaidieni jinsi ya kutatua tatizo hili au ndo yaleyale?
asanteni
Jana tu nimebahatika kujikongoja na kununua kasimu ka nokia N95 8GB kwa kweli bado kapya kabisa japo kanawezekana kakawa kakichina lakini kikubwa ni mawasiliano kwa sababu hakuna jinsi ya kukwepa dhahama ya wachina dunia inabidi tukubali tu.
Sasa nilikuwa nataka kuhamisha mapicha na mataarifa mengine kutoka kwenye kasimu kangu kazamani ili kaje huku kwenye hii ambayo ina 8GB lakini kila nikijaribu kuhamisha inaniambia kuwa Storage not Ready.
Wakuu nisaidieni jinsi ya kutatua tatizo hili au ndo yaleyale?
asanteni