godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Wakuu,kwa mara nyingine nakuja mbele zenu nikitumai nyote mko salama,rejea kichwa cha habari hapo juu.Nimekuwa nikitumia jina langu halisi katika kuwasilisha mada/hoja na pia kuchangia nyuzi mbali mbali zilizoletwa humu.Kimsingi sina nia mbaya kutaka kufanya hivyo,ila ni kuzingatia advice kutoka kwa baadhi ya members.Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app