matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,216
Wakuu rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
Hadi sasa sijajua ni Ng'e, Nyoka, Tandu, au viumbe wengine korofi wasiojulikana.
Nimepiga patrol eneo lote tukio liliponipata sijaona hata kiumbe yoyote niliyemtilia shaka.
Mdau wangu akaniambia atakuwa nng'e, Nikaendea na michakato lkn hadi sasa kiwango cha maumivu na uganzi kiko palepale.
wakuu atakuwa mbabe gani kafanya mambo. Binafsi nimeamua kupotezea maumivu na ganzi yafe kiasili, Je ninaweza kupata athali yoyote?
Msaada wakuu na wakurugenzi mbalimbali,
Hadi sasa sijajua ni Ng'e, Nyoka, Tandu, au viumbe wengine korofi wasiojulikana.
Nimepiga patrol eneo lote tukio liliponipata sijaona hata kiumbe yoyote niliyemtilia shaka.
Mdau wangu akaniambia atakuwa nng'e, Nikaendea na michakato lkn hadi sasa kiwango cha maumivu na uganzi kiko palepale.
wakuu atakuwa mbabe gani kafanya mambo. Binafsi nimeamua kupotezea maumivu na ganzi yafe kiasili, Je ninaweza kupata athali yoyote?
Msaada wakuu na wakurugenzi mbalimbali,