Wakuu msaada ku boot two operating system

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Nov 4, 2020
1,318
2,222
Ndugu members wa jamii forum naombeni msaada, Pc yangu dell inspiron 3521 core i3 3rd generation na 4GB RAM, inazingua ukifungua file manager mwanzoni inafanya kazi fresh, lakin baadae thumbnail zote zinapotea then ina stack then huwezi fanya chochote inajamm, lakin usipofungua This PC app, hakuna tatizo,

Nimejaribu kutumia Xyproler lakini wapi, nimepiga windows na ku update PC bado hamna kitu.

Sasa ndo nikapewa wazo la kuweka OS nyingine nayo ni KUBUNTU 20.1 ili nitumie mbili pamoja na windows 10, je naweza tatua tatizo kwa hivo.

NB: Nimejaribu ku run hardware diagnosis ya hard disk lakini imesoma hamna tatizo.
Msaada wakuu, make PC ndo kila kitu ikifa hapa na zoezi la kula pindi litakua gumu zaidi.


Chief-Mkwawa
ymollel
troublemaker
pirate
 
Ndugu members wa jamii forum naombeni msaada, Pc yangu dell inspiron 3521 core i3 3rd generation na 4GB RAM, inazingua ukifungua file manager mwanzoni inafanya kazi fresh, lakin baadae thumbnail zote zinapotea then ina stack then huwezi fanya chochote inajamm, lakin usipofungua This PC app, hakuna tatizo,

Nimejaribu kutumia Xyproler lakini wapi, nimepiga windows na ku update PC bado hamna kitu.

Sasa ndo nikapewa wazo la kuweka OS nyingine nayo ni KUBUNTU 20.1 ili nitumie mbili pamoja na windows 10, je naweza tatua tatizo kwa hivo.

NB: Nimejaribu ku run hardware diagnosis ya hard disk lakini imesoma hamna tatizo.
Msaada wakuu, make PC ndo kila kitu ikifa hapa na zoezi la kula pindi litakua gumu zaidi.


Chief-Mkwawa
ymollel
troublemaker
pirate
unatumia window gani.?
 
Window 10 pro, before ilikuwa 8 ikaleta hlo tatizo nikabadilisha nimekaa miezi kama sita limerudi tena
 
Weka basi hata picha jinsi tatizo linavyoonekana tujue pakuanzia
 
Window 10 pro, before ilikuwa 8 ikaleta hlo tatizo nikabadilisha nimekaa miezi kama sita limerudi tena
Ku install dual OS sidhani kama ni suluhu kwasababu kama hiyo UBUNTU iligoma ku run properly ikiwa single sidhani kama zikiwa mbili itakubali
 
Ku install dual OS sidhani kama ni suluhu kwasababu kama hiyo UBUNTU iligoma ku run properly ikiwa single sidhani kama zikiwa mbili itakubali
Nia ya kuweka duo ni kwamba windows nitumie kwa ajili ya program mbali mbali, then kubuntu iwe kwa ajili ya media playing na kusomea notes na kuhifadhi document mbalimbali
 
Hauwezi kutatua tatizo la Windows OS kwa ku-install Ubuntu, isipokuwa utakuwa umepata option nyingine ya kutumia pale ambapo Windows itakuwa imestuck. Nakusauri ufanye backup ya files zako zote zilizoko kwenye Windows halafu u-format disk na kufanya fresh install. Ubuntu ni OS inayo-operate kwenye UNIX, japo pia ina GUI ambayo inafanana kiasi na ya windows.
 
Picha
DSC_0025.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom