IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,817
Kabisa mkuu bora warudi shuleni huko...Afadhali shule zinafunguliwa; utoto utapungua JF!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu bora warudi shuleni huko...Afadhali shule zinafunguliwa; utoto utapungua JF!!!!
Acha uoga. Kazana kusoma.Acha kabisa kuchati mitandaoni.Aliyekudanganya kuwa Maombi yanafaulisha mitihani ni nani?Naam salamu wakuu wa jf
Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....
Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki
Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee
Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
Kumbe ....tunaishi na student ....humu
Anyway mwnyw nipo nmemaliza mwaka Jana soma sana uje MZUMBE kula boom la HELSB
Maombi yanaaza na ww . Jitahidi uache utoto na uzingatie yale ya walimu wako. Mshirikishe Mwenyezimgu kwa kila utendalo. Kwa uhakika Utafaulu bila pingamizi....Naam salamu wakuu wa jf
Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....
Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki
Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee
Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
. M ni raia bna ...student ndo wale huvaa sare ...pia wana tumia silabas....Hata ww Bado ni student pia
Mkumbushe pia deni linapanda kila siku ukienda kuangalia salio unakuta bilion 40?Kumbe ....tunaishi na student ....humu
Anyway mwnyw nipo nmemaliza mwaka Jana soma sana uje MZUMBE kula boom la HELSB
Ili tukuombee sala zikufikie ondoka kwenye magroup ya ajabu ajabu huko telegram, la sivyo kwenye mtihani utaona maluweluweNaam salamu wakuu wa jf
Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....
Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki
Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee
Nawasilisha
Mimi simo kule✍️✍️✍️✍️Ili tukuombee sala zikufikie ondoka kwenye magroup ya ajabu ajabu huko telegram, la sivyo kwenye mtihani utaona maluweluwe