Wakuu mniombee

Naam salamu wakuu wa jf

Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....

Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki

Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee

Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
Acha uoga. Kazana kusoma.Acha kabisa kuchati mitandaoni.Aliyekudanganya kuwa Maombi yanafaulisha mitihani ni nani?
 
Kila la kheri,nina imani Mungu kakuumba na utashi wa kutambua bila juhudi binafsi hata maombi na sala zetu hazitakusaidia kitu kwenye kufaulu kwako so kasome kijana.
 
Naam salamu wakuu wa jf

Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....

Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki

Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee

Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
Maombi yanaaza na ww . Jitahidi uache utoto na uzingatie yale ya walimu wako. Mshirikishe Mwenyezimgu kwa kila utendalo. Kwa uhakika Utafaulu bila pingamizi....
 
Naam salamu wakuu wa jf

Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa jf kwani narudi shule....

Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki

Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee

Nawasilisha
Ili tukuombee sala zikufikie ondoka kwenye magroup ya ajabu ajabu huko telegram, la sivyo kwenye mtihani utaona maluweluwe
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom