😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇 😇Nyimbo mojawapo ya mafundi wa Tanesco hii hapa.
Mama mama mama ulizaa na bwana maskini ona sasa mwanao nateseka oooh nateseka,kaza kalio wewe nguzo inyanyuke hioooo....
Mie kuna siku nilipita kwenye gereji fulani, nikakuta vijana wamekuja pale kufundishwa ufundi. Sasa wakawa wananyanyua ma vyuma mazito ya kwenye gari kiasi kwamba wanashindwa!Nyimbo mojawapo ya mafundi wa Tanesco hii hapa.
Mama mama mama ulizaa na bwana maskini ona sasa mwanao nateseka oooh nateseka,kaza kalio wewe nguzo inyanyuke hioooo....
Akili hawana kabisaKuna memba mmoja humu nimemsahau aliniacha hoi kwa nyimbo za hawa jamaa wa Tanesco
"Ohhhh mamaaa
Kwanini ulipanua mapaja kwa baba masikini
Ona sasa mwanao naumiaa
Ooooh naumia "
mkuu niombee kibali jf, ntakula ban aiseeWeka nakala ya hayo matusi hapa!
Kwenye sheria mfano ukipeleka malalamiko polisi kwamba umetukanwa unapaswa kuainisha matusi husika na mwendesha mashtaka anaenda kuyasoma mbele ya hakimu kwenye hatua za kusoma maelezo ya awali ya kesi!mkuu niombee kibali jf, ntakula ban aisee
ahsante.Kwenye sheria mfano ukipeleka malalamiko polisi kwamba umetukanwa unapaswa kuainisha matusi husika na mwendesha mashtaka anaenda kuyasoma mbele ya hakimu kwenye hatua za kusoma maelezo ya awali ya kesi!
Nyimbo mojawapo ya mafundi wa Tanesco hii hapa.
Mama mama mama ulizaa na bwana maskini ona sasa mwanao nateseka oooh nateseka,kaza kalio wewe nguzo inyanyuke hioooo....
Usisahau ma wale wa mabaka..Nashangaa jamaa wa tanesco hapa wanaimba matusi mazito huku wakiweka nguzo kwenye shima.
Nimekaa na mafundi flani wao ni matusi mbele kwa mbele.
ukiingia kwa makonda, machinga ukisikiliza story zao.
wakuu hizi ni flastresheni, hasira za maisha, molali au burudani kazini.
Mie kuna siku nilipita kwenye gereji fulani, nikakuta vijana wamekuja pale kufundishwa ufundi. Sasa wakawa wananyanyua ma vyuma mazito ya kwenye gari kiasi kwamba wanashindwa!
Yule fundi mwalimu wao akaanza kuwafokea "HEBU NYANYUENI HUKOOO, WASHENZI NYIE, SI MLIONA MFUKO WA MADAFTARI NI MZITO KUUBEBA MGONGONI MUENDE SHULE......" yaani nilijikuta nacheka sana.