Wakuu kwa nini watoto wa nje ya ndoa wengi wana akili sana?

watu wengi huzaliwa na akili zao vizuri lakini ukuaji wa akili na maarifa hutegemea changamoto ambazo mtu anapitia ambazo zinachangia kwa kiasi kikubwa kuwa na uwezo na akili zaidi. Changamoto zilizowakuta wayahudi zimewafanya wao kuwa na uwezo mkubwa zaidi katika kufikiria na kutumia fursa kwa uhakika.

wengi hapa wanachanganya kupata elimu na akili hivi vitu havifanani japo vinaweza kwenda pamoja. mfano mzuri wengi waliopo jamii forum wanaakili lakini wanavyeti vya kuungaunga ila uwezo wa kujenga hoja wanao na kufanya maamuzi mazuri.

hata hawa wa mitaani nao wanaakili ila hawakupata fursa tu ya kufikia maisha ya msaada wa shule.
 
Sababu hatuna hisia, so akili zetu tunazipeleka darasani na kwenye maisha.
Kwahiyo mkuu unahamasisha waliooa wazae nje wapate watoto wenye akili
 
mkuu sio watoto wote wa nje ya ndoa wamekosa malezi/kukataliwa pia hao watoto wa mitaani unaowazungumzia wengi ni mayatima hivo mada haiwahusu.
Na sio wengi ni yatima! Hapana...wengi ni wale wa kukataliwa...
 
Natumai hamjambo wana jamvi.

Wakuu watoto wengi wa nje ya ndoa akiwemo mwanangu, ndugu, majirani na marafiki ninaowafahamu wengi wana akili sana.

Jambo hili nimeli-experience muda mrefu, japo sikupata sababu ya moja kwa moja kwa nini wana akili sana, hivo nikaamua kushare nanyi tupate majibu.

Karibuni kwa michango yenu.
Mkuu hata mi sijui kwa nini iko hivyo!
Nina marafiki nnaowafahamu watatu wana akili kiasi cha kuwa msaada mkubwa kwa hawa watoto halali.
Mfano: Historia ya mfalme Suleman ni mtoto nje kwa mfalme Daudi ila fatilia hekima na uelewa wake ulikuwa mkubwa kuliko wa dingi.
Hata humu Jf nahisi (Nauye) wanasema ni wa nje ila wale halali hawasikiki kabisa. Mifano ni mingi mno
Yaani mpaka nimepanga kuwa na kidume nje ya ndoa
 
Hasahasa wale waliokataliwa na baba zao huwa ni vichwa na sio mkia nikiwemo mimi hapa
 
Back
Top Bottom