Martin Ponsian
New Member
- Sep 1, 2018
- 1
- 0
Ki ukwel hii kitu inachanganya ngoja niinvestgate then tatoa mrejesho hapa.Haya bhana!
Ki ukwel hii kitu inachanganya ngoja niinvestgate then tatoa mrejesho hapa.Haya bhana!
Hahah maswali mengine banaWana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji kuwekeza zaidi kwenye mitetea!
Wana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji kuwekeza zaidi kwenye mitetea!
sahihiIpo dhana kuwa yai lililo chongoka sana nila jogoo na ambalo halijachongoka nila mtetea ila sidhani kama kuna udhibitisho wa hii dhana.
Unawajuaje wakiwa na siku mojaIla kuna njia ya kutambua kifarangaa jokoo na tetea wakiwa na umri wa siku moja.
Mkuu nakushukuru sana kwa elimu hii uliyonipa. Binafsi ni Mfugaji wa Kuku wa Kienyeji nilikuwa nashindwa kutofautisha kati ya yai la Jogoo na la Mtetea. Maana huwa mayai ya Jogoo tunapenda sana kula kuliko yale ya Mtetea. Jogoo wa Mbegu ninaye kwa hiyo nakuwa sihitaji Jogoo mwingine maana hata wakiwa pamoja ni mwendo wa kupigana kila siku.Niweke picha hii kwa faida ya mjadala,
Yai la Kuku likiwa hivi:
1. likiwa limechongoka hutotolesha kifaranga cha jogoo.
2. Likiwa hakika hongoka kifaranga cha mtetea
View attachment 2726396