Mkuu si ujipulizie kurusumu tu yaishe
hapana sio chaguo langu hilo mkuu
Ngoja nikifika home nikutumie namba kuna duka flani nadhani wapo mtaa wa azikiwe au zanaki wana kla aina ya perfumeWakuu kuna perfume inaitwa Zara night II homme nimejaribu itafuta maduka mengi sijapata na sitaki kuagiza ebay itachukua muda sana.
Anayeuza hii au anayefahamu wapi nitapata kwa hapa Dar anijulishe.
View attachment 1530035
Wakuu kuna perfume inaitwa Zara night II homme nimejaribu itafuta maduka mengi sijapata na sitaki kuagiza ebay itachukua muda sana.
Anayeuza hii au anayefahamu wapi nitapata kwa hapa Dar anijulishe.
View attachment 1530035
Mkuu si ujipulizie kurusumu tu yaishe
Ahhahaahah
View attachment 1539083 View attachment 1539084View attachment 1539085View attachment 1539086
Weee hizi perfume nzuri sana awapigie hawa +255 783 612 822 @blooming_cosmeticuk
mzeee hizi ni za kike au kiume?, bei ipoje
nimeona za kike za kiume labda umuulize kwa hiyo namba my dia
Hapo kuna za 70000 na 85,000
Wanapatikana wapi?? thank uu
dar mkuu Ila popote wanatuma