matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,577
- 15,337
Mwanzoni nilikuwa naona napambana na watafutaji wenzagu hapa.
Mpambano ulikuwa mkali maana inafika kipindi hupewi taarifa juu ya jambo ulilotakiwa kutekeleza alafu Baadae Boss anapigiwa kuwa jamaa kakukomea kufanya ulichoagiza.
Mnakubaliana jambo ukianza kutekeleza tu, jamaa wanaibuka kusema hata sisi tunashangaa jamaa sijui nani amemuambia afanye. Wote wanakugeuka.
SASA Moto umepamba baada ya kugundua kumbe Boss na yeye ni mpenzi mkubwa wa majungu na masifa.
Hataki kuona umefanya jambo zuri au jema lenye manufaa la kibunifu. Anaumia anaona umemzidi. Yuko radhi hata mpate hasara au kitu kife kuliko kuchukua ushauri mwema unaompa maana itaonekana ni wewe ndiye utapata sifa.
Kimbembe ni pale ambapo katika mkutano wa wafanyakazi watu tumetoa hoja na mapoints ila nyamwezi niliposhusha hoja kila baada ya kituo natiririshiwa makofi lukuki. Hiki kitendo kilimfanya bosi avimbe balaa hadi akasusa na kuacha kikao mikononi mwa wasaidizi wake na kukaa nje.
Hili life nalipenda sana maana najifunza mengi ila natamani mbinu za kisasa za kutoboa katika mazingira kama haya dhidi ya masnichi kama hawa na bossi wa namna hii.
Mpambano ulikuwa mkali maana inafika kipindi hupewi taarifa juu ya jambo ulilotakiwa kutekeleza alafu Baadae Boss anapigiwa kuwa jamaa kakukomea kufanya ulichoagiza.
Mnakubaliana jambo ukianza kutekeleza tu, jamaa wanaibuka kusema hata sisi tunashangaa jamaa sijui nani amemuambia afanye. Wote wanakugeuka.
SASA Moto umepamba baada ya kugundua kumbe Boss na yeye ni mpenzi mkubwa wa majungu na masifa.
Hataki kuona umefanya jambo zuri au jema lenye manufaa la kibunifu. Anaumia anaona umemzidi. Yuko radhi hata mpate hasara au kitu kife kuliko kuchukua ushauri mwema unaompa maana itaonekana ni wewe ndiye utapata sifa.
Kimbembe ni pale ambapo katika mkutano wa wafanyakazi watu tumetoa hoja na mapoints ila nyamwezi niliposhusha hoja kila baada ya kituo natiririshiwa makofi lukuki. Hiki kitendo kilimfanya bosi avimbe balaa hadi akasusa na kuacha kikao mikononi mwa wasaidizi wake na kukaa nje.
Hili life nalipenda sana maana najifunza mengi ila natamani mbinu za kisasa za kutoboa katika mazingira kama haya dhidi ya masnichi kama hawa na bossi wa namna hii.