Wakuu katika kundi la lowassa tunamuhitaji pia mwanakijiji

king11

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
327
79
Wakuu tumeweza kudhibiti hali ndani ya chama katika mikoa yote na uchaguzi wa ndani ya CCM unaokuja tunahitimisha kwa kuwavua uenyekiti JK na Nape, hivyo kwa mipango hii 2015 ndani ya chama tupo vizuri kabisa


Lakini nje ya chama kuna tatizo kubwa sana ambalo linatokana na wanaharakati wawili ambao inabidi tuweze kuwashawishi na kuwaomba watende haki pande zote na si kusimama na kufanya siasa za hisia .
Tupo katika sehemu ya mwisho ya uanzishaji wa TV ya kurusha kampeni zetu na midaharo ya kisiasa itayofika nchi nzima na kibali tayari kimepatikana tayari na wajumbe wameanza kujipanga

Ila ili kuipa nguvu television hii ni lazima tuwe na magwiji wa habari kama watatu TIDO, KUBENEA, MWANAKIJIJI kwa yeyote atayeweza kufanikisaha zoezi la kuwashawishi watajwa hapo juu basi dau la $ 100,000 litatolewa kwake pamoja na kuwaahidi wanahabari ao malipo makubwa kwa kipindi chote cha mkataba
 
Wakuu tumeweza kudhibiti hali ndani ya chama katika mikoa yote na uchaguzi wa ndani ya CCM unaokuja tunahitimisha kwa kuwavua uenyekiti JK na Nape, hivyo kwa mipango hii 2015 ndani ya chama tupo vizuri kabisa


Lakini nje ya chama kuna tatizo kubwa sana ambalo linatokana na wanaharakati wawili ambao inabidi tuweze kuwashawishi na kuwaomba watende haki pande zote na si kusimama na kufanya siasa za hisia .
Tupo katika sehemu ya mwisho ya uanzishaji wa TV ya kurusha kampeni zetu na midaharo ya kisiasa itayofika nchi nzima na kibali tayari kimepatikana tayari na wajumbe wameanza kujipanga

Ila ili kuipa nguvu television hii ni lazima tuwe na magwiji wa habari kama watatu TIDO, KUBENEA, MWANAKIJIJI kwa yeyote atayeweza kufanikisaha zoezi la kuwashawishi watajwa hapo juu basi dau la $ 100,000 litatolewa kwake pamoja na kuwaahidi wanahabari ao malipo makubwa kwa kipindi chote cha mkataba

Nipe dau mie nitakutana nao nitawagawia dau na kuwaomba wazidi kujikita katika kutetea thamani ya utu wao na kuwa independent mind, independent voice as well .
 
hii thredi ipelekwe kwenye jukwaa la mtangazo madogo madogo
 
Nipe dau mie nitakutana nao nitawagawia dau na kuwaomba wazidi kujikita katika kutetea thamani ya utu wao na kuwa independent mind, independent voice as well .
usijali mwanaharakati kama ukikamilisha jambo kama ilo basi utakuwa umefanya jema na tutakuwa na TV bora ya midaharo katika Afrika mashariki na si tu kwa kufanikisha 2015 bali ni kwa siku za usoni za vizazi vyetu. tuwasiliane
 
Wakuu tumeweza kudhibiti hali ndani ya chama katika mikoa yote na uchaguzi wa ndani ya CCM unaokuja tunahitimisha kwa kuwavua uenyekiti JK na Nape, hivyo kwa mipango hii 2015 ndani ya chama tupo vizuri kabisa


Lakini nje ya chama kuna tatizo kubwa sana ambalo linatokana na wanaharakati wawili ambao inabidi tuweze kuwashawishi na kuwaomba watende haki pande zote na si kusimama na kufanya siasa za hisia .
Tupo katika sehemu ya mwisho ya uanzishaji wa TV ya kurusha kampeni zetu na midaharo ya kisiasa itayofika nchi nzima na kibali tayari kimepatikana tayari na wajumbe wameanza kujipanga

Ila ili kuipa nguvu television hii ni lazima tuwe na magwiji wa habari kama watatu TIDO, KUBENEA, MWANAKIJIJI kwa yeyote atayeweza kufanikisaha zoezi la kuwashawishi watajwa hapo juu basi dau la $ 100,000 litatolewa kwake pamoja na kuwaahidi wanahabari ao malipo makubwa kwa kipindi chote cha mkataba

peleka hii kitu kwenye forum ya matangazo...
 
Back
Top Bottom