Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
We sema tu hunitaki, sio unaleta visababu kama vya ununuzi wa koroshobabu wewe mkali anakutega huyo ohoo bomu linaandaliwa wewe hujui tu
We sema tu hunitaki, sio unaleta visababu kama vya ununuzi wa koroshobabu wewe mkali anakutega huyo ohoo bomu linaandaliwa wewe hujui tu
We kula tu usiulize, mbona siku zote umekula uulize leo ili iweje? Kula kaka kula.mkuu hamira inamadhara gani?
au tumbo litajaa na kusinyaa ndani ya dakika sufuri.
asante baba.We kula tu usiulize, mbona siku zote umekula uulize leo ili iweje? Kula kaka kula.
sasa mnataka kuzidi.Unashangaa hiyo? Hujapikiwa damu ya hedhi wewe!
Wafanyakazi wa manispaa ya kinondoni mbona wana kula sana ugali wa samaki wa buku jero na unakuwa na mboga zote kama ilizotaja apo muheshimiwa.Mhh ugali samak kwa 1500??
goodWafanyakazi wa manispaa ya kinondoni mbona wana kula sana ugali wa samaki wa buku jero na unakuwa na mboga zote kama ilizotaja apo muheshimiwa.
Kuna wadada wana toka sokoni kuja kufanya delivery ma ofisini mwao.mpk Mimi najiulizaga faida wana pata ukizingatia n dar:
Kule kwetu hakuna shida maana Michele ma unga, mama mboga, samaki, ng'ombe ni wengi
Ntafutie ka eneo namba one nije niweke mwaro mkuuNafikiri ungemuuliza yeye,afu 1500kama kubwa vile,huku kwetu ni buku tu wali nyama,maharage na vegetable vivyo hivyo ugali nyama,dagaa,vegetable n.k
Huyo anaetoza 1500 anapata super profit
Sisi ambao hatuna wakutupikia kuna mda vitu kama ivo tunamwachia mungu, maanaKuna siku nilikuwa stendi pembeni kulikuwa na vibanda vya Vyakula Kuna bibie alikua anaandaa chakula mimi niko namtizama kwa Makini ghafla nikaona amechukua fungu za Mchicha kwanza hakuosha mbaya zaidi alikata mpaka mizizi yake nikiwa nashangaa zikatolewa nyanya zimeoza kweli kweli nikashangaa wanasaga hivyo hivyo hata kusafisha.
Mimi mwenyewe nakitandikaga sana hiki mkuugood
we mboga saba ebu tuache kidogo..huwezi elewa diet zetuMhh ugali samak kwa 1500??
MasaloSi anaokota okota sokoni vilivyotupwa, vinavyoanguka etc, tunaita kuokoteza, wala hanunui!
sio kipande mzee. nimesema samaki kibua mzima saizi ya kati.Samaki kipande dagaa kidogo mboga za majani kidogo Nyama finyango 2 inawezekana wazee
niambie mkurugenzi.Prof. Matunduizi
Ugali+amira kibao.
Matembere sokoni mengi tu yakuokota, gharama yako maji ya kusafishia na sasa hivi mitaro imejaa.
Dagaa wapo waliolowa na mvua hawafai kusafirisha, nikuwasafisha sana.
Nyama ndaza hizi bongebonge kilo elfumbili.
Kuku hii siri tangu, piga ua sikuambii.
buguruni, mhhhUbungo wanapojenga fly over pale darajani maji shilingi efu moja
Wali dagaa, njegere, mchicha..
Ka umezoea kiepe yai plate ya pale humalizi..
Buguruni pale chama pilau kachumbari na nyama mbili pia buku..
At your own risk
Mtu usipo jitambua unateseka sana, kwanini asirudi kwao hata kama ni kijijini kuliko kuteseka hivyo, hao mateja na wao huwa hawapati hapo kweli kuosha mikia yao jamani?
buguruni, mhhh
yasijekuwa malapulapu ya nyama kutoka vingunguti.
unaweza kula ngozi iliyochunwa unadanganywa ni steki.
prof matunduizi