Wakuu huyu 'Mama Ntilie' anapataje faida? Naona kama nimefaidi zaidi Ugali mboga 7

Mhh ugali samak kwa 1500??
Wafanyakazi wa manispaa ya kinondoni mbona wana kula sana ugali wa samaki wa buku jero na unakuwa na mboga zote kama ilizotaja apo muheshimiwa.

Kuna wadada wana toka sokoni kuja kufanya delivery ma ofisini mwao.mpk Mimi najiulizaga faida wana pata ukizingatia n dar:


Kule kwetu hakuna shida maana Michele ma unga, mama mboga, samaki, ng'ombe ni wengi
 
Wafanyakazi wa manispaa ya kinondoni mbona wana kula sana ugali wa samaki wa buku jero na unakuwa na mboga zote kama ilizotaja apo muheshimiwa.

Kuna wadada wana toka sokoni kuja kufanya delivery ma ofisini mwao.mpk Mimi najiulizaga faida wana pata ukizingatia n dar:


Kule kwetu hakuna shida maana Michele ma unga, mama mboga, samaki, ng'ombe ni wengi
good
 
Kuna siku nilikuwa stendi pembeni kulikuwa na vibanda vya Vyakula Kuna bibie alikua anaandaa chakula mimi niko namtizama kwa Makini ghafla nikaona amechukua fungu za Mchicha kwanza hakuosha mbaya zaidi alikata mpaka mizizi yake nikiwa nashangaa zikatolewa nyanya zimeoza kweli kweli nikashangaa wanasaga hivyo hivyo hata kusafisha.
Sisi ambao hatuna wakutupikia kuna mda vitu kama ivo tunamwachia mungu, maana
nahisi tokea nianze kula kwao ni mungu tu anatulinda

Sema wanajua kupika na vyakula vyao vitamu
 
Samaki kipande dagaa kidogo mboga za majani kidogo Nyama finyango 2 inawezekana wazee
 
Ubungo wanapojenga fly over pale darajani maji shilingi efu moja
Wali dagaa, njegere, mchicha..
Ka umezoea kiepe yai plate ya pale humalizi..

Buguruni pale chama pilau kachumbari na nyama mbili pia buku..

At your own risk
 
Nyama ndaza Ndio nini?
Na hao kuku je?
Ugali+amira kibao.
Matembere sokoni mengi tu yakuokota, gharama yako maji ya kusafishia na sasa hivi mitaro imejaa.
Dagaa wapo waliolowa na mvua hawafai kusafirisha, nikuwasafisha sana.
Nyama ndaza hizi bongebonge kilo elfumbili.
Kuku hii siri tangu, piga ua sikuambii.
 
Ubungo wanapojenga fly over pale darajani maji shilingi efu moja
Wali dagaa, njegere, mchicha..
Ka umezoea kiepe yai plate ya pale humalizi..

Buguruni pale chama pilau kachumbari na nyama mbili pia buku..

At your own risk
buguruni, mhhh

yasijekuwa malapulapu ya nyama kutoka vingunguti.
unaweza kula ngozi iliyochunwa unadanganywa ni steki.


prof matunduizi
 
Ndo unachowaza tu
Mtu usipo jitambua unateseka sana, kwanini asirudi kwao hata kama ni kijijini kuliko kuteseka hivyo, hao mateja na wao huwa hawapati hapo kweli kuosha mikia yao jamani?
 
Nikizidiwa huwa nabonyea hapo huwa sinywagi maji yao tu ila kuna raia hadi maji wanakunywa..
Ukiiga tubakukuta muhimbili na dripu
buguruni, mhhh

yasijekuwa malapulapu ya nyama kutoka vingunguti.
unaweza kula ngozi iliyochunwa unadanganywa ni steki.


prof matunduizi
 
Back
Top Bottom