Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Ndugu mimi niliomba MD Bugando mwaka huu nikapata na nashukuru mungu na nyie wana jf kwa ushauri wenu. nimefuatilia sana ada ya pale nikajuanaweza ku topup ela itakayo baki kama nikipata mkopo was heslb. Na ni muhitimu wa clinical medicine 2017 GPA4.0. Sasa kuna jamaa hapa Leo kanambia kuwa siwezi pata mkopo was tuition fee kwamba hakuna co ambae anasoma private kwa MD ambaye anapata mkopo kuwa wengi hawapewi. sasa nilitaka kupata mwelekezaji mwenye uono mpana akanipa analysis ili nielewe maana kama mkopo niliomba bila tatizo sasa iweje wakatae kunipa mkopo. Natanguliza shukrani