Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,955
- 2,166
Heshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.