Mugacherere
Member
- Jan 28, 2019
- 88
- 84
Cv
Jibu lako ni la ubabe! Be humble!Mbona huelewek hawez jiendeleza kivip , kama AMO, imefutwa inamana anaweza kuenda MD.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi: Ukisoma Clinical medicine (CM) unakuwa Clinical officer.Mbona huelewek hawez jiendeleza kivip , kama AMO, imefutwa inamana anaweza kuenda MD.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidiane wakuu kuhusu ukweli wa mada hii
Uwe na ufaulu wa masomo 5, matatu kama yalivyo elezwa hapo juu.1. Uwe umepata credit (A,B,C) katika chemistry and Biology na D ya physics Form 4. Short of that huendi.
asante kwa masahihisho.Uwe na ufaulu wa masomo 5, matatu kama yalivyo elezwa hapo juu.
Masiya it has proved difficult to get 3.5 GPA, nadhani Ndalichako amefanya makusudi kuwazuia wasiende MD maana alikuwa amesema kuwa kama hujapitia form six ie A-Level you will never see the inside of a University lecture room!Uwe na ufaulu wa masomo 5, matatu kama yalivyo elezwa hapo juu.
Vigezo bado vilevile, huenzi kwenda MD bila kuwa na 3.5 GPAMasiya it has proved difficult to get 3.5 GPA, nadhani Ndalichako amefanya makusudi kuwazuia wasiende MD maana alikuwa amesema kuwa kama hujapitia form six ie A-Level you will never see the inside of a University lecture room!
Sioni sababu kwa nini isiwe 3.0 halafu nafasi zilizopo ziamue. Kupata nafasi ya MD kwa wengi imekuwa a nightmare. Mpaka kupatikane viongozi wenye msimamo na maono tofauti.Masiya it has proved difficult to get 3.5 GPA, nadhani Ndalichako amefanya makusudi kuwazuia wasiende MD maana alikuwa amesema kuwa kama hujapitia form six ie A-Level you will never see the inside of a University lecture room!
Kuna AMO nilikutana nao mahali wanapiga kazi ,hawa jamaa wanauzoefu kuliko MD ,tena wanajua practical work kiasi kikubwa,kule theater kuna fresh surgeon alishindwa kurepair Auxiliary Artery aliyoidamage kwa bahati mbaya wakati wa operation, Jamaa akawa anatoa jasho na hakuna mtu alikuwa anaweza kuirepair,AMO akasema chief niruhusu nikusaidie hiyo kazi kwa kuwa nimefanya kazi na Vascular Surgeon for 7 yrs,AMO akafanikiwa kuokoa jahazi la loss of blood na kuirepair ile artery kirahisi bila kuleta other damages.Baada ya kazi yule Surgeon alimuheshimu sana AMO.Viongozi wako emotionally sana mtu amefanya kazi for five years kwenye sector yake kwanini usimruhusu tu akasome Zaidi hata kwa Minimum qualifications, vyuo vya nje vingi vina angalia pia kama mtu amekuwa ana practice field yake kwa muda gani na ina mpa added advantage hata kama atakuwa na gap kwenye academic qualifications ila working experience still matter
Exactly, GPA ya 3.0 as minimum makes sense! Then unaacha available slots to detrmine the fate!Sioni sababu kwa nini isiwe 3.0 halafu nafasi zilizopo ziamue. Kupata nafasi ya MD kwa wengi imekuwa a nightmare. Mpaka kupatikane viongozi wenye msimamo na maono tofauti.
Dah kweli experience is a good teacher,.kiukweli naamini CO anaweza pata uzoefu zaid hata ya md wakat mwingine maan co anapga kaz nying sana mahospitalini.. Mi naona mtu akisoma Co na akiwa kazin for atleast 3yrs aruhusiwe tu kusoma md , kule akachujwe mwenyewe na sup akicheza , ila nnachoamini CO wanaweza sana.. Wapewe fursaKuna AMO nilikutana nao mahali wanapiga kazi ,hawa jamaa wanauzoefu kuliko MD ,tena wanajua practical work kiasi kikubwa,kule theater kuna fresh surgeon alishindwa kurepair Auxiliary Artery aliyoidamage kwa bahati mbaya wakati wa operation, Jamaa akawa anatoa jasho na hakuna mtu alikuwa anaweza kuirepair,AMO akasema chief niruhusu nikusaidie hiyo kazi kwa kuwa nimefanya kazi na Vascular Surgeon for 7 yrs,AMO akafanikiwa kuokoa jahazi la loss of blood na kuirepair ile artery kirahisi bila kuleta other damages.Baada ya kazi yule Surgeon alimuheshimu sana AMO.
True hawa jamaa wanaona wagonjwa wengi huko wilayani na kesi kibao za ajabu na wanafanikiwa kutibu katika mazingira magumu,wanahitaji theory kidogo sana . Akisoma AMO then MD basi anakuwa hatari sanaDah kweli experience is a good teacher,.kiukweli naamini CO anaweza pata uzoefu zaid hata ya md wakat mwingine maan co anapga kaz nying sana mahospitalini.. Mi naona mtu akisoma Co na akiwa kazin for atleast 3yrs aruhusiwe tu kusoma md , kule akachujwe mwenyewe na sup akicheza , ila nnachoamini CO wanaweza sana.. Wapewe fursa
Sent using Jamii Forums mobile app