The Stig
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,113
- 1,105
Wakuu ni swali za kizushu hivi haya mashirika ngozi nyeusi kwanini hatupewi kuongoza?
Edwin Mtei alishawahi kuwa Asst. MD wa IMF.
Anyway, kama walivyosema wengine, ni UTAMADUNI kuwa WB inaongozwa na US na IMF na Eurozone. Kwa sasa hivi, wanajaribu kuangalia uwezekano wa kuondokana na utamaduni huu kwa kumchangua IMF Boss kutoka; Brazil, Turkey, SA, India au Mexico kwa sababu mataifa haya emergent (pamoja na BRICS) yamevunja ile dhana ya kuwa uchumi bora uko US na Europe pekee.
Kwa Afrika, kiukweli sidhani kuwa tunaweza hata kuongoza FIFA.