Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Kwani tatizo liko wapi? Nyinyi undeni na nyinyi vyombo vyenu vya kifedha mpate kuviongoza wenyewe. Hayo ma IMF sijui ma World Bank yameundwa na wazungu. Acheni kulilia kushika nyadhifa kwenye vyombo ambavyo hamjaviunda.
Si muunde vya kwenu tu. Au hamuwezi? Mtashobokea vya wazungu hadi lini? Mimi nadhani hamuwezi kuunda vya kwenu ndo maana kutwa kucha mnalilia vya wazungu. Kama mba ubavu basi undeni vyenu. Simple as that.
Si muunde vya kwenu tu. Au hamuwezi? Mtashobokea vya wazungu hadi lini? Mimi nadhani hamuwezi kuunda vya kwenu ndo maana kutwa kucha mnalilia vya wazungu. Kama mba ubavu basi undeni vyenu. Simple as that.