Wakuu hivi huwa mnaishi vipi na aina hii ya watu?

Mkuu sio kwamba tatizo ni wewe? kwanini usiwe appreciative? kwamba kumkubali mtu au kumvumilia mtu na mapungufu yake. Au mbinu nyingine ni kutokuwa serious na watu.

Swali je kuna watu unawafurahia? kama wapo ni watu wa aina gani? kama ndivyo hao uliowaita kuwa hawajitambui unawavumilia tu siku ziende sababu naona pengine huwezi kuwaepuka.
 
Sijui hata kama umesoma nilichokiandika...

Kwa sabbu naona ninachokihitaji na ulichonijibu ni tofauti kabisa!
Ishu ni kuwa hupendi kuchangamana na watu

Kuna namna fulani hivi unajihisi wewe ni special/una majivuno

Una u anti social fulani hivi + kiburi

Kama maisha ni kurekebishana iweje uogope kumwambia ukweli mtu pale ambapo unaamini amekosea?

Sababu ya kumchukia mtu kwa madhaifu yake sijaona logic au kuchukia mtu for no reason!
Naamini watu tunatofautiana, na ndio maana watu wote hawawezi kuwa kama wewe..

Mungu ana malengo yake kuumba watu tofauti, hatutakaa tufanane kimawazo, kimatendo, kimtazamo n.k
 
Mkuu Mimi nilikuw Kiongozi na nimeongoz na dizan ya watu Kam hao ikabd nijiuzulu tuuu

Maan wanajua wanajifany hawajui
 
Hatua ya kwanza zima simu kabisa au iuze hutapigiwa wala hutaona SMS tena maishani mwako

Hao unaokutana nao njiani akianza mtu umbea mwambie twende polisi ukanielezee huko
Utakua huru katika dunia hii ya mola
Mkuu unazungumza simpo sana.

Sasa niuze simu ilihali nina mambo ya kufanya Chief
 
Ishi hivi kaa ukijua hakuna mkamilifu duniani...na ishi ukijua kila mtu anamapungufu
Alafu nahisi kama mnanishambulia hivi

Hamjaelewa maana ya bandiko langu...kuna watu wanatumia theory ya mapungufu alafu wanakuwa wanafiki..sasa hao niishi nao? Au umbea? Au uwongo uwongo kumbe ananizunguka?

Yaaani niishi na watu wanakuchekea machoni kumbe rohoni hawataki kukuona.

Watu tumetofautiana Boss...kuna watu wana uwezo wa kusense tabia + roho ya mtu akajua nia/lengo lake.

Nahisi tuishie hapa
 
Alafu nahisi kama mnanishambulia hivi

Hamjaelewa maana ya bandiko langu...kuna watu wanatumia theory ya mapungufu alafu wanakuwa wanafiki..sasa hao niishi nao? Au umbea? Au uwongo uwongo kumbe ananizunguka?

Yaaani niishi na watu wanakuchekea machoni kumbe rohoni hawataki kukuona.

Watu tumetofautiana Boss...kuna watu wana uwezo wa kusense tabia + roho ya mtu akajua nia/lengo lake.

Nahisi tuishie hapa
Mie nimekuelewa...! Inaboa..bas tu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom