- Thread starter
- #21
Sawa sawaCha msingi tupige window kwanza itasaidia kujua tatizo
Sawa sawaCha msingi tupige window kwanza itasaidia kujua tatizo
Yes upo sahihi kabisa.Jamaa anataka ajitengenezee kijiji cha peke yake asichangamane wala kuwasiliana na watu
😂😂😂😂Sawa mkuuYes upo sahihi kabisa.
Aah....kivip chiefMleta mada kuna sehemu pia unatatizo fanya hima uonane na mtaaramu wa mambo ya afya ya akili.
Mmmh something is wrong...Na machoni pa watu namaanisha kwenye events tofauti tofauti,mjumuiko wa watu hata ile kuzungumza zungumza naona ni matatizo tuu.
Kwenye thread niliandika kuna baadhi sasa nikikutana nao ndani ya dk 1 tuu tayari nimemchoka ila kuna wengine fresh tuu ila sio kimazoea.
Mbali zaidi hata kama ni kitaa nikipita nikionana na watu vibandani ni salamu tuu inakuwa imeisha.sio mazoea mazoea
Lakini kinachonisumbua hao hao ninaowakwepa wanarudisha majeshi + urafiki wa kupigiana simu au mazoea jambo ambalo roho imeshakataa.
Wakati naolewa hubby alikua anatabia ya kuniletea umbea umbea wa kazini kwake plus wa mtaan nikawa simjibu nakaa kimya .kuna kipindi nikamwambia i hate it !
Yaani mm sipend mtu aniambie anaumbea umbea ambao hahunihusu..
sijui fulani kafumaniwa..sijui fulani anatkoka na boss wake.ehe inanisaidia nn mimi!yaan najiskiaga uzito sana...yaan mimi mtu mbea mbea hapana kwakweli..nw ameweza...
Mfano ni wakati ule watu walivyotumbuliwaga. Vyeti feki uwii nilikua nachukia tu naona inanihusu nini mm mara sijui prof kakutwa ana cheti feki form 4..so what!
Kuna wachache hawajaelewa kabisa!Mie nimekuelewa...! Inaboa..bas tu
Nikishajiunga mabando inatosha...Acha kujishtukia mkuu. Ishi nao hivyo hivyo halafu kuhusu kuunga dakika pole jamani unakosa uhondo,maongezi ya simuni matamu sana.
Unajua kila binadamu hujiona Bora kuliko wengine,hiyo tabia yako ulionayo kuna watu inawakera ila basi hawezi kukwambia ukweli Kama wewe unavyoopa kuwambia ukweli,Wakuu habari
CHANGAMOTO SANA KUISHI NA WATU WASIOJITAMBUA.
Sijui niitengeneze vipi hoja yangu ila nahisi nitaeleweka...Ipo hivi kuna baadhi ya watu nahisi kama huwa hawajitambui/wana matatizo hivi.. na hii ni kwa level zote haijalishi ni wasomi au wasio wasomi.
Nianze hivi... ulishawahi kukaa/kuzungumza na mtu ndani ya dk 1 tuu ukamchukia hata hutaki kumuona tena?....au wakati mwingine ukimuona kwa mbali unabadilisha muelekeo wa barabara?...aseew yaani kuna watu wanazungumza hovyo alafu wanakera
Kwa ufupi huwa sina haiba ya kuzungumza zungumza au kuzungumza na simu ndio sipendi kabisa... sabbu hata mara ya mwisho kujiunga dk ilikuwa mwaka jana mwezi wa 12...Kibaya mtu anazungumza na wewe alafu ni maneno ya umbea umbea tuu + uongo mwingi hauna maana yoyote...na hizo haiba hazipo damuni kabisa ila unakuta jitu lina nang'aniza tuu
Kibaya zaidi hata nikijikwepa au kutulia masimu yanapigwa tuu hovyo hovyo mara huyu mara yule nikiizima nakuta messages ...
Nahisi kuna baadhi ya watu huwa hawajitambui hata ile kumsoma mtu emotion + facial expression inamuwia ugumu.
Huwa natamani kuwaambia ukweli ila nahisi wakati mwingine maisha ya kuambiana ukweli muda mwingine ni kutengeneza uadui au waseme nina jeuri,kujiona,kujisikia nk
1:Vipi kwenu wakuu ni tabia zipi huwa zinawakera kutoka kwenye hili kundi la hawa watu na jinsi gani mnazikabili?
2:Au njia zipi nifanye ili hata nikikutana/kuzungumza nao zinifanikishe?
Ila yote kwa yote sina haiba ya kujichanganya na mtu/watu kabisa...dk 5 ni nyingi sana.
Ishi na watu vizuri acha kiburi, kumbuka na wewe kesho utaingizwa kwenye Friji utolewe kama Bia...
Huenda umeitoa bila kujua ni kauli ya watu masikini na roho mbaya(wanyonge) ...polePole sana mkuu kwa hayo mawazo yako ambayo hayako kwenye uhalisia wangu, Sio kila kauli ni ya Kimasikini
TRUE STORY
WELL, HAYO NI MAWAZO YAKO SIO KWANGU HUKUHuenda umeitoa bila kujua ni kauli ya watu masikini na roho mbaya(wanyonge) ...pole
Umemjibu vizuri sana hasa hapo mwishoni huenda kweli anasumbuliwa na hilo tatizoWenzako watakuja kukupa kichwa eti wewe ni Introvert.
Cha kukusaidia acha kupiga puli.