lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,168
- 2,657
Kiasili sina maadui niwajuao direct humu duniani labda haters wa hapa na pale pamoja na yoooote sijawahi kubeba vinyongo kwenye moyo wangu sipendi mtu anidharau wala sidharau mtu,nikipita salamu simpiti mtu, kazini ndani siyo mtu wa vijiwe, bar wala chochote cha hivyo. Hizi social meetings labda msiba, jumuiya, sherehe ndio utanikuta na bado sina maneno mengi. Bhasiii bhana, ikaenda ikaenda nyie watu wazima wenzangu mtakuwa mmeshajua.
Kuna jambo nikawa nahisi muda mrefu linaendelea ila Mimi sina ushahidi nilihangaika nalo mwisho nikasema sifi na tai shingoni nikaingia mtaani nichukue data nikaongea na watu karibuni 9 hivi wote wakanambia mbona hiyo kitu inajulikana na MTT hata wa miaka 7 iko uchi ndio hivyo nikatajiwa hadi eneo pendwa la huo uovu unapofanyikia.
Kumbe watu walikuwa wanajisemea eti nilikuwa najua nikaamua tu kunyamaza! Nasikia mwenzangu aliwahi kuitwa akaonywa alichojibu ni kila mtu na maisha yake. Sijawahi kuvunjika moyo kiasi hicho, mtaani nikitembea kila mtu ananitizama kwa jicho ambalo silielewi mbaya zaidi aliyenifanyia ushenzi ni Jirani yangu pua na mdomo yaan sukari na Chai.
Hii kitu imeondoka na kilo zangu nyingi,nimeloose appetite kabisa wakuu najefeel soso down yaan sijui nielezeje sina hata hamu ya kupita barabarani kuna siku nilishindwa kuandika mikono ilinitetemeka plus machozi. Huyo mwenzangu ameniomba msamaha ,bado nafikiri cha kufanya moyo wangu umejeruhika mno kuliko maelezo najua kuna psychologist humu, kuna watu wenye maarifa na wasomi nifanyeje nirudie furaha yangu ya zamani.
Naomba kama utanikebehi don't comment maana itakuwa kunitilia chumvi kidondani msaada wenu wakuu, mahusiano hayo ni rasmi mbele za Mungu na wanadamu. Kwa Mara ya kwanza sisalimiani na huyo ibilisi aliyenizunguka! Bado sijajua nifanyeje na yeye nimuumize kama alivyoniumiza. Maumivu Niliyo nayo bora uchapwe fimbo kinachouma zaidi uaminifu uliotukuka nilio nao!
Kuna jambo nikawa nahisi muda mrefu linaendelea ila Mimi sina ushahidi nilihangaika nalo mwisho nikasema sifi na tai shingoni nikaingia mtaani nichukue data nikaongea na watu karibuni 9 hivi wote wakanambia mbona hiyo kitu inajulikana na MTT hata wa miaka 7 iko uchi ndio hivyo nikatajiwa hadi eneo pendwa la huo uovu unapofanyikia.
Kumbe watu walikuwa wanajisemea eti nilikuwa najua nikaamua tu kunyamaza! Nasikia mwenzangu aliwahi kuitwa akaonywa alichojibu ni kila mtu na maisha yake. Sijawahi kuvunjika moyo kiasi hicho, mtaani nikitembea kila mtu ananitizama kwa jicho ambalo silielewi mbaya zaidi aliyenifanyia ushenzi ni Jirani yangu pua na mdomo yaan sukari na Chai.
Hii kitu imeondoka na kilo zangu nyingi,nimeloose appetite kabisa wakuu najefeel soso down yaan sijui nielezeje sina hata hamu ya kupita barabarani kuna siku nilishindwa kuandika mikono ilinitetemeka plus machozi. Huyo mwenzangu ameniomba msamaha ,bado nafikiri cha kufanya moyo wangu umejeruhika mno kuliko maelezo najua kuna psychologist humu, kuna watu wenye maarifa na wasomi nifanyeje nirudie furaha yangu ya zamani.
Naomba kama utanikebehi don't comment maana itakuwa kunitilia chumvi kidondani msaada wenu wakuu, mahusiano hayo ni rasmi mbele za Mungu na wanadamu. Kwa Mara ya kwanza sisalimiani na huyo ibilisi aliyenizunguka! Bado sijajua nifanyeje na yeye nimuumize kama alivyoniumiza. Maumivu Niliyo nayo bora uchapwe fimbo kinachouma zaidi uaminifu uliotukuka nilio nao!