UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Kiufupi. Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa na rafiki wa utoto. Kwa bahati mbaya aliachia la 6. Siku moja tupo juu ya mti Wote tunakata tawi la mti. Ghafla alisikika mchunga mbuzi anapiga yowe, nyokaa nyokaa Rama nyokaaa! Basi yule rafiki yangu Rama akaniambia vp nishuke? Nikamuambia ndio. Aliposhuka na kumfuata yule kijana, tawi lilianguka na kwenda kupiga sehemu aliyokuwa amekalia. It means lingemkuta angefia pale pale
NDOTO YENYEWE : Imekuwa karibu kila siku namuota yule rafiki tupo naye kwenye kundi la nyoka wengi. Au kila nikiota ndoto mbaya lazima awepo tu. Mara naota anadondoka kwenye shimo reefu tunashindwa kumuokoa.. Hii ndoto itaishaje maana imepita miaka 26 hivi ndo naanza kuota hayo. Mwanzo haikuwepo. Hatukai pamoja yapata miaka hiyo 26 ila yupo kijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
NDOTO YENYEWE : Imekuwa karibu kila siku namuota yule rafiki tupo naye kwenye kundi la nyoka wengi. Au kila nikiota ndoto mbaya lazima awepo tu. Mara naota anadondoka kwenye shimo reefu tunashindwa kumuokoa.. Hii ndoto itaishaje maana imepita miaka 26 hivi ndo naanza kuota hayo. Mwanzo haikuwepo. Hatukai pamoja yapata miaka hiyo 26 ila yupo kijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app