matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,216
changamoto ya kupumua ilitafuna watu kwa kasi.
Bila, dawa wala kinga sioni tena amsha amsha tangu mkuu wetu alipoyarudia mavumbi.
Hata ile trend ya viongozi wetu kupukutika kwa mfuatano nayo imekoma mara tu mkuu kulala mavumbini.
Je Mungu katuokoa?
Je Zilikuwa njama tu za kututishia wakuu wetu?
Je ilikuwa ni vuguvugu la kuhalalisha tuchanjwe kama mifugo?
Je
Je
Je
Najiuliza, nikiwa nimekaa dukani kwa jirani hapa kijiwe changu cha kupatia matangazo ya vifo vya magonjwa ya milipuko.
Bila, dawa wala kinga sioni tena amsha amsha tangu mkuu wetu alipoyarudia mavumbi.
Hata ile trend ya viongozi wetu kupukutika kwa mfuatano nayo imekoma mara tu mkuu kulala mavumbini.
Je Mungu katuokoa?
Je Zilikuwa njama tu za kututishia wakuu wetu?
Je ilikuwa ni vuguvugu la kuhalalisha tuchanjwe kama mifugo?
Je
Je
Je
Najiuliza, nikiwa nimekaa dukani kwa jirani hapa kijiwe changu cha kupatia matangazo ya vifo vya magonjwa ya milipuko.