Mpaka mtu unafaa na kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, Serikali haijawahi kuona Original certificate zake, sasa kama vililiwa na panya mamlaaka ya uteuzi inafanya uteuzi upya, hii ndiyo serikali ya kubana matumizi.
Sisi watumishi wa umma tunaposoma habari hizi zinatupa kichefuchefu haijawahi kutokea, kila mtu anaogopa kushauri kwa usahihi kwa kuogopa kutumbuliwa yetu macho!
Sisi watumishi wa umma tunaposoma habari hizi zinatupa kichefuchefu haijawahi kutokea, kila mtu anaogopa kushauri kwa usahihi kwa kuogopa kutumbuliwa yetu macho!