Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma, kama wote wangekuwa kama Masanja Kadogosa nchi ingefika mbali

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,661
15,026
Wakurugenzi wa mashirika ya uma wengi wamelala isipokuwa mkurugenzi wa shirika la reli TRC mh Masanja Kungu Kadogosa.

Kutokana na maandalizi ya sikukuu za mwisho wa mwaka jana Masanja Kadogosa amesafiri kwa Treni kutoka Dar hadi Arusha ili kukagua na kuhamasisha matumizi ya usafiri wa treni nchini.

Anavyoongea na anavyolisimamia shirika la reli hakika Kadogosa ni tofauti sana na wakurugenzi wengi wanaojali matumbo yao.
 
Inasikitisha mkuu, watu wanafanya vikao vya idara kila siku hadi Jumamosi na Jumapili na wanalipwa posho za vikao. Ni suala la mda tu kabla TRC haijafa rasmi.
Mpaka Hapo Kazi Kubwa Vikao Na Posho Tena Weekend
 
Wako wengi mbona mfano mdogo NHC lilikuwa shirika mfu lakini Mchechu akaliamsaha,Tanesco ilikuwa hoi Dk Idris Rashid akaliamsha sema tu alichemka kutaka kununua mitambo mitumba ya Dowans lakini alilipaisha mno wakati sio engineer Ni mchumi,CRDB ndilo shirika pekee la umma ambalo binafsi naweza tamka wazi kuwa Dk Charles Kimei ndie anatakiwa kupewa Nishani ya kitaifa kwa kugeuza loss making kampuni ya serikali kugeuza iwe profitable Hadi kuweza kushindana Hadi na Benki za nje

Dr Kimei mchaga Mimi Niko na allergy na wachaga sababu ila Kwa Dr Kimei No uwezo wake ni undisputable hata Kama mtu una allergy na wachaga Ni namba one kuendesha successful kampuni ya Umma na kuijengea brand kimataifa na kufanya CRDB iwe competitive isiyoogopa ushindani wa kimataifa locally ,wa pili ni Dr Idris Rashid kufuta foleni za kununua umeme Tanesco na kugeuza shirika kipindi chake lijitahidi kuwa profit making badala ya kutegemea ruzuku na kulifanyika la kisasa wa tatu Ni Mchechu wa NHC shirika lilikuwa mortuary kalifufua wa nne Ni Tanroads Marehemu Mfugale kujenga mitandao ya barabara nchi nzima wa Tano jina simjui jina Ni wa Umeme vijijini aliyewezesha Umeme kufikia vijiji kibao nchi nzima

Kadogosa sijaona Bado output verifiable by customers
Ndg CRDB ni waholanzi ndo wanaisimamia serikali hisa zake ni kiduchu sana.!
 
Yuko vizuri!. Ashikirie hapo hapo, asije ingia kwenye mtego wa kuvimba kuliko mafanikio.
 
Ndg CRDB ni waholanzi ndo wanaisimamia serikali hisa zake ni kiduchu sana.!
MD alipewa mtanzanzia Dr Kimei

Yeye ndie mtu wa kwanza kutengeneza business strategy ya kupora wazawa bussimen waliokuwa mabeniki ya nje wahame waweke pesa CRDB

Kwa taarifa yako Kama hujui mabenki yote Yana ukabila mfano makampuni ya uingereza Benki.yao Ni Standard chartered ya Marekani Benki yao Ni Citibank,ya wahindi Ni Diamond Trust, South African s companies Wana yao nk

Waholanzi walipokuja kuwekeza Dr Kimei akawapa Statrategy kuwa locals hawana Benki yao reliable sababu wengi wanaweka mipesa mibenki ya nje ambako hata kupata mikopo kwao shida sana akajenga Local Bank brand very powerful kwa locals ya CRDB locals wakahama Kutoka mibenki ya nje kuhamia CRDB

CRDB ikaamka Hadi leo ndio bank reliable kwa locals

Wangeshika waholanzi tu pekee ingekufa tu sababu kuwa na mtaji sio issue customers wako wapi? Ndio maana libenki mfu la CRDB wakampa Dr Kimei na akaliamsha

Dr Kimei ana akili nyingi mno Tena sana

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni

Mimi Nina Allergy na wachaga kwa sababu zangu binafsi ambazo sio lazima niweke humu lakini sio Dr Kimei utendaji wake unajiuza
 
Wako wengi mbona mfano mdogo NHC lilikuwa shirika mfu lakini Mchechu akaliamsaha,Tanesco ilikuwa hoi Dk Idris Rashid akaliamsha sema tu alichemka kutaka kununua mitambo mitumba ya Dowans lakini alilipaisha mno wakati sio engineer Ni mchumi,CRDB ndilo shirika pekee la umma ambalo binafsi naweza tamka wazi kuwa Dk Charles Kimei ndie anatakiwa kupewa Nishani ya kitaifa kwa kugeuza loss making kampuni ya serikali kugeuza iwe profitable Hadi kuweza kushindana Hadi na Benki za nje

Dr Kimei mchaga Mimi Niko na allergy na wachaga sababu ila Kwa Dr Kimei No uwezo wake ni undisputable hata Kama mtu una allergy na wachaga Ni namba one kuendesha successful kampuni ya Umma na kuijengea brand kimataifa na kufanya CRDB iwe competitive isiyoogopa ushindani wa kimataifa locally ,wa pili ni Dr Idris Rashid kufuta foleni za kununua umeme Tanesco na kugeuza shirika kipindi chake lijitahidi kuwa profit making badala ya kutegemea ruzuku na kulifanyika la kisasa wa tatu Ni Mchechu wa NHC shirika lilikuwa mortuary kalifufua wa nne Ni Tanroads Marehemu Mfugale kujenga mitandao ya barabara nchi nzima wa Tano jina simjui jina Ni wa Umeme vijijini aliyewezesha Umeme kufikia vijiji kibao nchi nzima

Kadogosa sijaona Bado output verifiable by customers

Ulikuwa unataka kujenga hoja nzuri lakini umeiharibu kwa kuanza kuongelea “alergy ya Uchaga” wa kabila la Kimei,unapaswa kujenga hoja kwa kumjadili mtu binafsi na performance yake.Nilidhani ulipaswa kumsifia Dr Kimei kwa kazi yake nzuri bila kuanza kumnanga tena kwa kabila lake.
 
Wako wengi mbona mfano mdogo NHC lilikuwa shirika mfu lakini Mchechu akaliamsaha,Tanesco ilikuwa hoi Dk Idris Rashid akaliamsha sema tu alichemka kutaka kununua mitambo mitumba ya Dowans lakini alilipaisha mno wakati sio engineer Ni mchumi,CRDB ndilo shirika pekee la umma ambalo binafsi naweza tamka wazi kuwa Dk Charles Kimei ndie anatakiwa kupewa Nishani ya kitaifa kwa kugeuza loss making kampuni ya serikali kugeuza iwe profitable Hadi kuweza kushindana Hadi na Benki za nje

Dr Kimei mchaga Mimi Niko na allergy na wachaga sababu ila Kwa Dr Kimei No uwezo wake ni undisputable hata Kama mtu una allergy na wachaga Ni namba one kuendesha successful kampuni ya Umma na kuijengea brand kimataifa na kufanya CRDB iwe competitive isiyoogopa ushindani wa kimataifa locally ,wa pili ni Dr Idris Rashid kufuta foleni za kununua umeme Tanesco na kugeuza shirika kipindi chake lijitahidi kuwa profit making badala ya kutegemea ruzuku na kulifanyika la kisasa wa tatu Ni Mchechu wa NHC shirika lilikuwa mortuary kalifufua wa nne Ni Tanroads Marehemu Mfugale kujenga mitandao ya barabara nchi nzima wa Tano jina simjui jina Ni wa Umeme vijijini aliyewezesha Umeme kufikia vijiji kibao nchi nzima

Kadogosa sijaona Bado output verifiable by customers
Umemsahau Dau wa NSSF
 
Ndio anajitahidi.. Ushauri train ya Dsm - Kgm ingepewa jina la Dr Livingstone na TRC/serikali wapromote utalii wa ndani ...pia kando ya reli ya kati kuna njia alipita Dr Livingston - Dsm - Ujiji Kgm : hapa wanaeza buni kajitrain kakitalii kuwapa fursa Watalii
 
MD alipewa mtanzanzia Dr Kimei

Yeye ndie mtu wa kwanza kutengeneza business strategy ya kupora wazawa bussimen waliokuwa mabeniki ya nje wahame waweke pesa CRDB

Kwa taarifa yako Kama hujui mabenki yote Yana ukabila mfano makampuni ya uingereza Benki.yao Ni Standard chartered ya Marekani Benki yao Ni Citibank,ya wahindi Ni Diamond Trust, South African s companies Wana yao nk

Waholanzi walipokuja kuwekeza Dr Kimei akawapa Statrategy kuwa locals hawana Benki yao reliable sababu wengi wanaweka mipesa mibenki ya nje ambako hata kupata mikopo kwao shida sana akajenga Local Bank brand very powerful kwa locals ya CRDB locals wakahama Kutoka mibenki ya nje kuhamia CRDB

CRDB ikaamka Hadi leo ndio bank reliable kwa locals

Wangeshika waholanzi tu pekee ingekufa tu sababu kuwa na mtaji sio issue customers wako wapi? Ndio maana libenki mfu la CRDB wakampa Dr Kimei na akaliamsha

Dr Kimei ana akili nyingi mno Tena sana

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni

Mimi Nina Allergy na wachaga kwa sababu zangu binafsi ambazo sio lazima niweke humu lakini sio Dr Kimei utendaji wake unajiuza
Watanzania tuacheni ukabila jamani
 
Kwa nini sasa mpendwa wako jiwe alimtumbua Mchechu??
Wako wengi mbona mfano mdogo NHC lilikuwa shirika mfu lakini Mchechu akaliamsaha,Tanesco ilikuwa hoi Dk Idris Rashid akaliamsha sema tu alichemka kutaka kununua mitambo mitumba ya Dowans lakini alilipaisha mno wakati sio engineer Ni mchumi,CRDB ndilo shirika pekee la umma ambalo binafsi naweza tamka wazi kuwa Dk Charles Kimei ndie anatakiwa kupewa Nishani ya kitaifa kwa kugeuza loss making kampuni ya serikali kugeuza iwe profitable Hadi kuweza kushindana Hadi na Benki za nje

Dr Kimei mchaga Mimi Niko na allergy na wachaga sababu ila Kwa Dr Kimei No uwezo wake ni undisputable hata Kama mtu una allergy na wachaga Ni namba one kuendesha successful kampuni ya Umma na kuijengea brand kimataifa na kufanya CRDB iwe competitive isiyoogopa ushindani wa kimataifa locally ,wa pili ni Dr Idris Rashid kufuta foleni za kununua umeme Tanesco na kugeuza shirika kipindi chake lijitahidi kuwa profit making badala ya kutegemea ruzuku na kulifanyika la kisasa wa tatu Ni Mchechu wa NHC shirika lilikuwa mortuary kalifufua wa nne Ni Tanroads Marehemu Mfugale kujenga mitandao ya barabara nchi nzima wa Tano jina simjui jina Ni wa Umeme vijijini aliyewezesha Umeme kufikia vijiji kibao nchi nzima

Kadogosa sijaona Bado output verifiable by customers
 
Back
Top Bottom