Mwanzoni mlikuwa mnacheza na mishahara ya watumishi utakuta wilaya X mshahara tarehe 24 na wilaya Y mishahara tarehe 37. Ila tangia mishahara ihamie hazina sasa hivi watumishi wote kikibonyezwa kitufe tu salary imeingia siku moja kuanzia mbunge, askari, daktari, mwalimu hadi dereva.
Baada ya kubanwa huku sasa hivi wajanja wa halmashauri wamehamisha michezo yao kwenye nauli za likizo.
Mtu anaenda likizo ya malipo disemba 2020 anakuja kulipwa Aprili 2021. Hela mnazungushia kwenye mabenki au mnaweka fixed account mpate faida. Someni alama za nyakati acheni michezo yenu lipeni watu haki zao ndani ya muda husika.
Waziri Jaffo tupia jicho kwa wakurugenzi wa halmshauri janja janja sana hawa jamaa.
"Naomba wachina mtusamehe madeni yetu"
Baada ya kubanwa huku sasa hivi wajanja wa halmashauri wamehamisha michezo yao kwenye nauli za likizo.
Mtu anaenda likizo ya malipo disemba 2020 anakuja kulipwa Aprili 2021. Hela mnazungushia kwenye mabenki au mnaweka fixed account mpate faida. Someni alama za nyakati acheni michezo yenu lipeni watu haki zao ndani ya muda husika.
Waziri Jaffo tupia jicho kwa wakurugenzi wa halmshauri janja janja sana hawa jamaa.
"Naomba wachina mtusamehe madeni yetu"