Nakumbuka jambo moja kama sio mawili niliwahi kupenda tena nikiwa la tano nilibeba mahindi na mihogo kumpelekea kipenzi, ila sikuwahi kumwambia zaidi ya kumjali sana, sikuwahi kumuona tena huyo binti mpaka leo alihama tukiwa la sita.
Ila hii ndio kubwa kwa sababu nilikua kichwa maji darasani nilikua wa pili toka mwisho toka la tatu mpaka darasa la nne'la tano hivyo hivyo ya huko mbele siwezi sema maana ni maajabu matupu.
Nilinunuliwa baiskeli nikiwa la sita, tukiwa likizo nikaanza kuitumia naenda nayo hapa na pale baada ya kufungua nikaanza kwenda nayo shule. Siku ya kwanza nikaungana kimsafara na wenye baiskeli nikampakiza na rafiki yangu mmoja tukaenda,siku iliyofuata nikampakiza tena rafiki yangu,ikawa hivyo kama wk mbili,tukawekewa utaratibu wa kurudi even class hapo ndio visa vilianza sasa.
Siku hiyo ilifika ya evenclass ,nilivyo rudi even class wakati wa kutoka mida ya jioni nikaungana na wenzangu huku tunatembea mpaka nyumbani na ilikua ijumaa kumbe bwana!! nimesahau baiskeli shule! , nikafika home nikara nikamaliza natoka nikachukue baiskeli siioni,uliza huku na kure bila kuwaambia home sikuipata nikakaa kimya nikajua imeibiwa,jumatatu nikaamka mapema sana ilinisiulizwe ile nafika tu shule naiona baiskeli ipo na unyevunyevu.
Hilo tu kusahau baiskeli siku mbili liliniacha hoi mpaka leo .
Nilpofika la sita nilichange na la saba nilishika namba 3 kwa darasani kabla ya mitihani ya mwisho kuanza,mtihani wa kata nilikua wa 4,wilaya 17,mkoa 7 na kitaifa 1327. Nw nipo netherland nasoma masters.
Shule ilikuwa nzega english medium.
Ila hii ndio kubwa kwa sababu nilikua kichwa maji darasani nilikua wa pili toka mwisho toka la tatu mpaka darasa la nne'la tano hivyo hivyo ya huko mbele siwezi sema maana ni maajabu matupu.
Nilinunuliwa baiskeli nikiwa la sita, tukiwa likizo nikaanza kuitumia naenda nayo hapa na pale baada ya kufungua nikaanza kwenda nayo shule. Siku ya kwanza nikaungana kimsafara na wenye baiskeli nikampakiza na rafiki yangu mmoja tukaenda,siku iliyofuata nikampakiza tena rafiki yangu,ikawa hivyo kama wk mbili,tukawekewa utaratibu wa kurudi even class hapo ndio visa vilianza sasa.
Siku hiyo ilifika ya evenclass ,nilivyo rudi even class wakati wa kutoka mida ya jioni nikaungana na wenzangu huku tunatembea mpaka nyumbani na ilikua ijumaa kumbe bwana!! nimesahau baiskeli shule! , nikafika home nikara nikamaliza natoka nikachukue baiskeli siioni,uliza huku na kure bila kuwaambia home sikuipata nikakaa kimya nikajua imeibiwa,jumatatu nikaamka mapema sana ilinisiulizwe ile nafika tu shule naiona baiskeli ipo na unyevunyevu.
Hilo tu kusahau baiskeli siku mbili liliniacha hoi mpaka leo .
Nilpofika la sita nilichange na la saba nilishika namba 3 kwa darasani kabla ya mitihani ya mwisho kuanza,mtihani wa kata nilikua wa 4,wilaya 17,mkoa 7 na kitaifa 1327. Nw nipo netherland nasoma masters.
Shule ilikuwa nzega english medium.