Hapo hakuna wa timu nyingine anayegusa mpira wa timu nyingine, na wote mnatambuana. Mara zote huwa nasema, pamoja na sisi Waafrika hatujawa na uwezo wa fikra madhubuti za kuondoa umasikini wetu, ila tuna Upendo wa dhati sana kuliko mataifa mengineChips za 20/- na Sunvita
Kucheza kitenesi uwanja mmoja madarasa yote,kila darasa na kitenesi chake golini kuna makipa Saba((kila darasa na kipa wake) uwanjani sijui idadi,ukisikia usawa ndio huu.
nmecheza sana huo mchezoKutajiana majina yaliyojificha kwenye atlas.
Dah aisee, sijui hata hawa broiler wanajua hata atlas ni nini
Teh ...Madam Salome Haule kama upo humu jf mm ni mwanafunzi wako,ulihama shule ile (huko simiyu) baada ya sisi kumaliza,ninakumbuka mambo mengi ulinitendea mazuri na yaliyofungua njia ya mafanikio yangu,nimejitahd sana kukutafta kwny mitandao ya kijamii sijafanikiwa kukupata,Tafadhali sana madam,mm mwanafunzi wako nakutafta sana japo niseme asante kwako,nafsi inanilazmisha nihtaj kuonana naww ila nashindwa sabab sjui nianzie wapi,please ukisoma ujumbe huu jua mwanafunzi wako BUFFET anakutafta sana
Aisee we jamaa bana.nmecheza sana huo mchezo
Teh
Walkua wanakaa wiki wanatafuta ...
Kumbe jina hata halipo ...
Nasumbua nn mkuuAisee we jamaa bana.
Ndio maana hata humu unasumbua.
Nyuzi zako ni shida tupu.Nasumbua nn mkuu
Teh
Kuna siku nlwaambia ntafutienAisee we jamaa bana.
Ndio maana hata humu unasumbua.
Aisee umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka siku tuliyohangaika kutafuta URUSI. Yaani tulitokwa jasho maana sisi tulikuwa tunatafuta maandishi madogo kumbe yenyewe makubwaaaKutajiana majina yaliyojificha kwenye atlas.
Dah aisee, sijui hata hawa broiler wanajua hata atlas ni nini
Teh ...Nyuzi zako ni shida tupu.
Mnakariri kila anayeomba ni vimaandishi vilivyojificha.Aisee umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka siku tuliyohangaika kutafuta URUSI. Yaani tulitokwa jasho maana sisi tulikuwa tunatafuta maandishi madogo kumbe yenyewe makubwaaa
Aisee umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka siku tuliyohangaika kutafuta URUSI. Yaani tulitokwa jasho maana sisi tulikuwa tunatafuta maandishi madogo kumbe yenyewe makubwaaa
hatari sanaMnakariri kila anayeomba ni vimaandishi vilivyojificha.