damax
Member
- Aug 15, 2018
- 11
- 9
21rew222rKulikua kuna chotara mdada nilikua naiba pesa home nampa jamaa aniunganishie lakini nilikua mdogo siKuambulia chochote
21rew222rKulikua kuna chotara mdada nilikua naiba pesa home nampa jamaa aniunganishie lakini nilikua mdogo siKuambulia chochote
Hahahahahaha dah jeiefu ni mwisho wa matatizoNakumbuka ilikua j3 siku ya ukaguz /usafi.jpil nilichelewa kufua nguo sasa inafka siku ya j3 asubuh shat la shule alijakauka nikaona isiwe kesi nikakata kola ya shat kisha nikalipiga pasi vizuri nikavaa na sweta langu Ile kola nikaitoa kwa nje.mda tukiwa mstarini mwalim Kafika kwangu kwa nyuma akabinua kola yangu aone kama nimefua.kakuta kola ina ng'aa balaah akaanza kuni mwagia sifa kede kede.dadek kimbembe nikaambiwa nitoke mbele nivue sweta wanione nilivyo smart kilicho tokea Mungu anajua
KUWAHI KUVAA MPAKA NILIPOFIKA DARASA LA NNE, TENA SIKU YA MTIHANI WA TAIFA. NA NILIAZIMA KWA MANZI JIRANI YETU NILIYESOMA NAE CLASS MOJAWandugu,
Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi.
Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991 wanafunzi tulikuwa nadhifu, tunaopenda shule, wenye heshima sana. Pia nakumbuka tulikuwa tunacheza halaiki shuleni na hata kwenye matukio kama ya mbio za Mwenge au Kiongozi wa kitaifa akitembelea wilaya yetu. Moja ya nyimbo za halaiki zinazonikuna mpaka leo ni hii hapa;
" Chama chetu kilituongoza hadi uhuru tulipoupata na kinaendelea kuongoza kufikia lengo ujamaa... Mwenyekiti Mwl. Nyerere mwenye hekima na wingi wa Sifa Tanzania..."
Ama kwa hakika enzi hizo zilikuwa tamu sana na tulipokuwa tukiimba nyimbo hizi tulikuwa tunanyoosha mkono kuelekea kwenye picha ya Baba wa Taifa wakati huo akiwa mwenyekiti wa chama na Raisi wa Tanzania.
Pia nakumbuka kuna waalimu fulani ambo walikuwa wamepitia mafunzo wa JKT basi zamu zao zikifika wanapiga magwanda na wiki hiyo inakuwa mchaka mchaka sio mchezo. Bila kusahau kukimbia mchaka mchaka asubuhi au tukienda kuchota maji Lambo na madumu ya lita tano huku tukiimba nyimbo za uhamisishaji kama;
" Mchaka mchaka chinja... Aliselema....na Mbuga za wanyama Tanzaniaaaah ya kwanza ni Serengetiii Ngorongoroooh Manyaraaa na Mikumiii oooh Tanzania hoooye....
Ni hayo tu kwa leo je na wewe ulisoma shule gani ya msingi na wakumbuka nini???
Ha ha ha hahahaa ka ulikuwepo na kule kwetu baridi kama makambako....i used to do it once a week (aftarol si nilikuwa mtoto kwani nini mbaya?)
mkuu kuwawekea vioo waschana ili kuwa chungulia sin umalaya huo??mm kwakweli nakumbuka kuwekea watu vioo chini ili niwachungulie,pia nakumbuka siku ya usafi likuwa ni j3 na alhamisi nilikuwa nafua lesso ili kucha zing'ae
Tulikuwa tunapenda sana kuchezea maji na utelezi hasa mvua inponyesha tena bila viatu kama picha hii inavyoonyesha
nilikuwa mchelewaji afu muoga kupindukia!!! nilikuwa namtanguliza mlw mkuu mbele afu mimi ndo naingia shule kama waziri wa elimu!!! (as if mi ndo nilimwajiri)
siku moja alinibamba akaniambia nimsubiri ofcn kwake...kama alinipata......
umenikumbusha mbali saaana mkuu!YOU HAVE MY THANKS
Shule zetu nyingi tulizosoma zilikuwa hivi na akili zilikuwemo leo hii mazingira mazuri na facility kwenye shule nyingi hasa za mjini zipo ila mitoto bomu bomu sijui tatizo ninini hasa au ndio hivyo tena nchi imeharibika na haina mwenyewe kuanzia chini hadi kwa wenye nchi???
PppBila kusahau kuruka ukuta na kutokea dirishani hasa wakati wa kwenda kufagia viwanja na kunyeshea maua sie "wajanja" tulikuwa tunasepa