Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,598
- 11,908
ukichokozana na mwenzako unamwambia tutapigana saakumi
nakulikuwa na sehemu ya kupigania
Mkuu umenikumbusha habari ya kupigana, kuna jamaa yetu alidundwa siku 1 akabaki anatambia mkwe Wa nyumbani kwao (Dada yao alikuwa ameolewa kama ana wiki 1 hivi). Eti nitaenda nikaliambie li-mkwe la nyumbani kwetu! Msingi miaka hiyo ilikuwa raha sana!! Jamaa yalikuwa yakiamua kupiga mkono ilikuwa hatari sana na ukizingatia kulikuwa na mibaba imeacha wake nyumbani, zilikuwa zinapigwa ngumi za kiutu uzima!