Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,887
Kula mkate chooni ili tusiwape wengine , maandazi , napia kucheza ngoma hodi hodi tunaingia na zingine nyingi , kucheza kwenye mvua kutoroka shuleni nakuiba vitu mashambani mwa watu
aiseeKula mkate chooni ili tusiwape wengine , maandazi , napia kucheza ngoma hodi hodi tunaingia na zingine nyingi , kucheza kwenye mvua kutoroka shuleni nakuiba vitu mashambani mwa watu
Hahahahahaaaa ila maisha haya nakumbuka kuna broo alikua anaitwa Kaini alikua ni balaa anakuja na karanga za kukaanga , maindi ya kukaanga , halafu anapanda juu ya mti kwenda kulia huko kipindi cha jioni ile saa tisa kabla ya kurudi nyumbani , walahi ukimfata huko juu ya mti anakufinya na kukufurumsha mpaka ushuke mkuku mkuku ikiwezekana uanguke kabiisaaWandugu,
Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi.
Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991 wanafunzi tulikuwa nadhifu, tunaopenda shule, wenye heshima sana. Pia nakumbuka tulikuwa tunacheza halaiki shuleni na hata kwenye matukio kama ya mbio za Mwenge au Kiongozi wa kitaifa akitembelea wilaya yetu. Moja ya nyimbo za halaiki zinazonikuna mpaka leo ni hii hapa;
" Chama chetu kilituongoza hadi uhuru tulipoupata na kinaendelea kuongoza kufikia lengo ujamaa... Mwenyekiti Mwl. Nyerere mwenye hekima na wingi wa Sifa Tanzania..."
Ama kwa hakika enzi hizo zilikuwa tamu sana na tulipokuwa tukiimba nyimbo hizi tulikuwa tunanyoosha mkono kuelekea kwenye picha ya Baba wa Taifa wakati huo akiwa mwenyekiti wa chama na Raisi wa Tanzania.
Pia nakumbuka kuna waalimu fulani ambo walikuwa wamepitia mafunzo wa JKT basi zamu zao zikifika wanapiga magwanda na wiki hiyo inakuwa mchaka mchaka sio mchezo. Bila kusahau kukimbia mchaka mchaka asubuhi au tukienda kuchota maji Lambo na madumu ya lita tano huku tukiimba nyimbo za uhamisishaji kama;
" Mchaka mchaka chinja... Aliselema....na Mbuga za wanyama Tanzaniaaaah ya kwanza ni Serengetiii Ngorongoroooh Manyaraaa na Mikumiii oooh Tanzania hoooye....
Ni hayo tu kwa leo, je na wewe ulisoma shule gani ya msingi na wakumbuka nini?
alikuwa mchoyo uyoHahahahahaaaa ila maisha haya nakumbuka kuna broo alikua anaitwa Kaini alikua ni balaa anakuja na karanga za kukaanga , maindi ya kukaanga , halafu anapanda juu ya mti kwenda kulia huko kipindi cha jioni ile saa tisa kabla ya kurudi nyumbani , walahi ukimfata huko juu ya mti anakufinya na kukufurumsha mpaka ushuke mkuku mkuku ikiwezekana uanguke kabiisaa
Atari mnoooalikuwa mchoyo uyo
nilikuwa siku za ukaguzi na kaa kwa wapiga ngomaa.. maana nilikuwa sifui 😅😅😅National Anthem uje uone maajabu🤣😃
Nili wahi wachomesha majamaa, Waka Pigana nusu kuuana🤣😃.nilikuwa siku za ukaguzi na kaa kwa wapiga ngomaa.. maana nilikuwa sifui 😅😅😅
😅😅😅.. uliharibu sana.. mie ilikuwa siku ya usafi huyoo nakaa mwisho kabisa kwenye band ya shule.. ila siku nikiwa msafi nakaa mbele kabisa, alafu hawakagui.. ila siku niliwa mchafu wanakaguaNili wahi wachomesha majamaa, Waka Pigana nusu kuuana🤣😃.
👉Wakaenda staff room, kuchapwa fimbo 50 kila mmoja 😃
Nilikuwa Kama Nuzulati alivyo saa hizi🤣😃😅😅😅.. uliharibu sana.. mie ilikuwa siku ya usafi huyoo nakaa mwisho kabisa kwenye band ya shule.. ila siku nikiwa msafi nakaa mbele kabisa, alafu hawakagui.. ila siku niliwa mchafu wanakagua
😅😅😅 ilikuwa raha sana enzi zetu.. sio zama hizi watoto hawapigwi fimboNilikuwa Kama Nuzulati alivyo saa hizi🤣😃
Wewe koma acha kuita ita watu utapotea 😂😂😂😂National Anthem uje uone maajabu🤣😃