Wakumaliza nae mwaka.

Mamushka

JF-Expert Member
Feb 17, 2010
1,595
99
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea. Cost yote ya safari ni juu yangu . ITINERARY itakua kama ifuatavyo five dayz on safari, by Charter plane from DIA terminal one to Krigler airstrip Selou game reserve. Kupokelewa na Serena tranport to Mivumo Lodge, tutakaa two nights full board, King size bed, Game drive, Massage from a beatuful masseuse , Sundown with glass of cocktail,Bush dinner na pia tukishudia Lion in honeymoon. Then tutarudi DIA to Znz hapo tutaunganisha kwenda Nungwi Zanzibar for three nights full board, fishing, diving, swimming bila kusahau ku enjoy chakula kizuri na fresh from our beautiful country, kwakeli tutakua busy sana na ku enjoy .CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. Then tutarudi na kila mtu ataaendelea na mwaka wake mpya na mambo yake mengine kama kawaida. Ambaye yuko interested awasiliane na mimi. Kwa wengine wote I wish you Merry x-mas and Happy new year guyz. Nawapenda wote nawapenda sana wana Jf.
 
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea. Cost yote ya safari ni juu yangu . ITINERARY itakua kama ifuatavyo five dayz on safari, by Charter plane from DIA terminal one to Krigler airstrip Selou game reserve. Kupokelewa na Serena tranport to Mivumo Lodge, tutakaa two nights full board, King size bed, Game drive, Massage from a beatuful masseuse , Sundown with glass of cocktail,Bush dinner na pia tukishudia Lion in honeymoon. Then tutarudi DIA to Znz hapo tutaunganisha kwenda Nungwi Zanzibar for three nights full board, fishing, diving, swimming bila kusahau ku enjoy chakula kizuri na fresh from our beautiful country, kwakeli tutakua busy sana na ku enjoy .CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. Then tutarudi na kila mtu ataaendelea na mwaka wake mpya na mambo yake mengine kama kawaida. Ambaye yuko interested awasiliane na mimi. Kwa wengine wote I wish you Merry x-mas and Happy new year guyz. Nawapenda wote nawapenda sana wana Jf.

umeshaachika mara hii du we kungurui
 
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea. Cost yote ya safari ni juu yangu . ITINERARY itakua kama ifuatavyo five dayz on safari, by Charter plane from DIA terminal one to Krigler airstrip Selou game reserve. Kupokelewa na Serena tranport to Mivumo Lodge, tutakaa two nights full board, King size bed, Game drive, Massage from a beatuful masseuse , Sundown with glass of cocktail,Bush dinner na pia tukishudia Lion in honeymoon. Then tutarudi DIA to Znz hapo tutaunganisha kwenda Nungwi Zanzibar for three nights full board, fishing, diving, swimming bila kusahau ku enjoy chakula kizuri na fresh from our beautiful country, kwakeli tutakua busy sana na ku enjoy .CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. Then tutarudi na kila mtu ataaendelea na mwaka wake mpya na mambo yake mengine kama kawaida. Ambaye yuko interested awasiliane na mimi. Kwa wengine wote I wish you Merry x-mas and Happy new year guyz. Nawapenda wote nawapenda sana wana Jf.

Thank you dear.
 
Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea.

Pls nipo interested sana na nipo serious Mamushika coz vigezo vyote ulivosema esp nilivokoleza utafikiri ushaniona!!
Pls nipe detail zako na nipate hili trip la kufunga mwaka!!!
 
Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea.

Pls nipo interested sana na nipo serious Mamushika coz vigezo vyote ulivosema esp nilivokoleza utafikiri ushaniona!!
Pls nipe detail zako na nipate hili trip la kufunga mwaka!!!
Hahaaa mh na inavyoonekana kweli unavigezo vyote tutaongea vizuri.
 
Ooh jamani Bacha nilisahau asante kwa kunikumbusha, Age lazima awe kuanzia miaka, 34 mpaka 45 si mbaya kwangu.


katika sifa zote ulizotaja ile kiukweli kabisa mimi naona nafit kabisa!wasiwasi wangu ilikuwa kwa umri tu, afadhali umeondoa dukuduku langu,mamushka usipoteze muda nipo kwaajili yako kwani hata kwenye age limits nipo poa kabisa!!!!!
 
Back
Top Bottom