Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hatimaya wakulima wa pamba mikoa ya shy na Mwanza wamesema bila shs.1000 No pamba, safari hii wamebeba mapanga na shoka kuzuia wanunuzi na imefikia mkulima mmoja aliyezidiwa na shida akitaka kuuza kwa bei hiyo alikipata cha moto baada ya kupokea kipigo hadi nyumba yake kuchomwa moto.
Swali:tunakoelekea ni salama kweli????????????????????????tafakari
Swali:tunakoelekea ni salama kweli????????????????????????tafakari