Mie na ww tunawakeraga watu Sana esp hizi Mambo😛😛Kilimo=Umaskini
Ndio maana ukisema mimi ni 'mtoto wa mkulima' maana yake mimi ni mtoto wa maskini/hohehahe.
mkuu mwisho wa maelezo yako uneuliza swali la fitnaNimeona kwenye habari Wakulima wa nyanya Morogoro, wakiomba kiwanda cha kusindika nyanya, wanatupa zinaharibika..
Kati ya vile viwanda zaidi ya 8000 tulivyo anzisha hakuna cha kusindika nyanya pale morogoro?
mkuu mwisho wa maelezo yako uneuliza swali la fitna
Nyanya Kisado ni sh 1000 Dodoma ukitembelea saa za majeruhi Soko kuu Majengo
maana kuliko akazimwage bora umsaidie pa kuzipeleka
hawa wakulima wanejiunga na kuanzisha viwanda wakawa wanazisindika msimu wa shida wakauza
Hapana kabisaNikufumbue kidg upeo...
Kufungua kiwanda kikaweza kusurvive unahutaji malighafi ya kutosha kuweza kukuendeshea wewe kiwanda chako...kuwalipa watumishi..na ww kukurudishia faida!
Tanzania kufungua kiwanda Cha nyanya watu wenyewe wanalima ekari 5 ni Bora ufuge ng'ombe ukamue maziwa!..hutawwza kukiendesha hata kidg..!means malighafi inatakiwa ipatikane kwa mwaka mzima..tons n tons! Hata Kama Kuna kipindi itapungua lakini kiwanda kiwe kinafanya kazi!..
Ishu hapa ni kuwamotivate wakulima throughout the year🤸🤸🤸
Hahahaha bro huwa hupepesi macho kwenye hiliKilimo=Umaskini
Ndio maana ukisema mimi ni 'mtoto wa mkulima' maana yake mimi ni mtoto wa maskini/hohehahe.