Wakulima wa Miwa wa Bonde la Kilombero wamemng'ata sikio Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa katika ziara yake Kilombero asikubali kuongea na viongozi wa Amcos kwani kwa sehemu kubwa wanatumiwa na Waziri Bashe kuficha aibu ya kutunga sheria ya kuua kilimo cha miwa na viwanda vya sukari.
Badala yake wamemuomba Rais Samia atume watu wake nje ya mfumo wa Wizara ya Kilimo, Mkuu wa Mkoa wa Moro na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero kwani ni kama wana njama ya pamoja na kufanyanyia sanaa mheshimiwa Rais akifika Kilombero ionekane wakulima wa miwa hawana malalamiko yoyote.
Wamemuomba Mheshimiwa Rais akifika Kilombero aitishe mkutano wa wakulima wote wa miwa na kuzungumza nao kwenye mkutano wa pamoja wamueleze malalamiko yao dhidi ya waziri wa kilimo na asikubali kuandaliwa mkutano wa viongozi wa AMCOS kwani wao wako upande wa kumtetea Bashe na maovu aliyofanya kwenye sukari.
Badala yake wamemuomba Rais Samia atume watu wake nje ya mfumo wa Wizara ya Kilimo, Mkuu wa Mkoa wa Moro na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero kwani ni kama wana njama ya pamoja na kufanyanyia sanaa mheshimiwa Rais akifika Kilombero ionekane wakulima wa miwa hawana malalamiko yoyote.
Wamemuomba Mheshimiwa Rais akifika Kilombero aitishe mkutano wa wakulima wote wa miwa na kuzungumza nao kwenye mkutano wa pamoja wamueleze malalamiko yao dhidi ya waziri wa kilimo na asikubali kuandaliwa mkutano wa viongozi wa AMCOS kwani wao wako upande wa kumtetea Bashe na maovu aliyofanya kwenye sukari.