Wakulima wa korosho walamba Tsh. Bilioni 500

mamayoyo1

JF-Expert Member
Jul 25, 2018
1,011
1,019


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Malipo ya wakulima wa korosho sasa yamefikia TSh. Bilioni 524.8 baada ya Serikali jana kuwalipa wakulima cha Tsh. Bilioni 100.

Ameeleza hayo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo, kipindi kinachofanyika kila alhamisi.

"Tunaendelea kufanya uhakiki na mpaka jana tumeongezewa Bil.100 ambazo zinafanya jumla ya Bil.500 za kulipa. Tutahakikisha hadi tarehe 15 mwezi huu tutakuwa tumewalipa wakulima kwa kiasi kikubwa,” amesema Waziri Mkuu.

Awali Waziri Mkuu alisema kuwa serikali inaendelea na mkakati wa kupanua wigo wa biashara kwa kupanua sekta zinazowasaidia wafanyabiashara kufanya vizuri ikiwemo ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa ndege.
 
serikali ya awamu ya tano inajificha kwenye uhakiki inapokosa pesa ya kulipa watu wake.
1) watumishi wa umma hawajapandishwa mishahara, vyeo hadi madaraja tangu aingie madarakani akiulizwa uhakiki ? ulipoisha hajapandisha mpaka uchao
2) korosho alisema akiwa amehamaki " nitazinunua na kuzibangua zote ndani ya siku mbili" alipomeza zile dawa zake kichaa kikapungua akili ikarudi akajua hana pesa . uhakiki ukaanza mpaka leo hajalipa ni mitakwimu tuuu.
Mkimaliza kuhakiki mtuambie na zile mlizotaifisha pesa atachukua nani?
 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Malipo ya wakulima wa korosho sasa yamefikia TSh. Bilioni 524.8 baada ya Serikali jana kuwalipa wakulima cha Tsh. Bilioni 100.

Ameeleza hayo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo, kipindi kinachofanyika kila alhamisi.

"Tunaendelea kufanya uhakiki na mpaka jana tumeongezewa Bil.100 ambazo zinafanya jumla ya Bil.500 za kulipa. Tutahakikisha hadi tarehe 15 mwezi huu tutakuwa tumewalipa wakulima kwa kiasi kikubwa,” amesema Waziri Mkuu.

Awali Waziri Mkuu alisema kuwa serikali inaendelea na mkakati wa kupanua wigo wa biashara kwa kupanua sekta zinazowasaidia wafanyabiashara kufanya vizuri ikiwemo ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa ndege.

Nape kasema ukienda huko kwa wakulima wa korosho, takwimu za malipo ya serekali na ukweli vinakataana, fullstop.
 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Malipo ya wakulima wa korosho sasa yamefikia TSh. Bilioni 524.8 baada ya Serikali jana kuwalipa wakulima cha Tsh. Bilioni 100.

Ameeleza hayo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo, kipindi kinachofanyika kila alhamisi.

"Tunaendelea kufanya uhakiki na mpaka jana tumeongezewa Bil.100 ambazo zinafanya jumla ya Bil.500 za kulipa. Tutahakikisha hadi tarehe 15 mwezi huu tutakuwa tumewalipa wakulima kwa kiasi kikubwa,” amesema Waziri Mkuu.

Awali Waziri Mkuu alisema kuwa serikali inaendelea na mkakati wa kupanua wigo wa biashara kwa kupanua sekta zinazowasaidia wafanyabiashara kufanya vizuri ikiwemo ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa ndege.
 
"Tunaendelea kufanya uhakiki na mpaka jana tumeongezewa Bil.100 ambazo zinafanya jumla ya Bil.500 za kulipa"
Rudia kusoma hapo,maana unaleta habari amabayo hata wewe mwenyewe haujailewa


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Malipo ya wakulima wa korosho sasa yamefikia TSh. Bilioni 524.8 baada ya Serikali jana kuwalipa wakulima cha Tsh. Bilioni 100.

Ameeleza hayo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo, kipindi kinachofanyika kila alhamisi.

"Tunaendelea kufanya uhakiki na mpaka jana tumeongezewa Bil.100 ambazo zinafanya jumla ya Bil.500 za kulipa. Tutahakikisha hadi tarehe 15 mwezi huu tutakuwa tumewalipa wakulima kwa kiasi kikubwa,” amesema Waziri Mkuu.

Awali Waziri Mkuu alisema kuwa serikali inaendelea na mkakati wa kupanua wigo wa biashara kwa kupanua sekta zinazowasaidia wafanyabiashara kufanya vizuri ikiwemo ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa ndege.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom