X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,647
- 12,216
- Thread starter
- #21
Hilo ni tatizo kubwa sana....na limekosa msaada...Hahahahahaaa..hili la mbegu aisee ni Tatizo..mi niliingizwa mkenge na consultation ya the so called afisa kilimo akaniambia ninunue mbegu HYBRID ya Kenya... yaani mahindi yalianza kuchanua yakiwa hayajafika hata urefu wa magotini....
Kuna kila haja hawa wataalam waji update maana wanachangia kutuangusha......
Wajuzi mje jamani tunawahitaji mnooooi